Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,499
- 9,316
Katumia busara sana! Hiyo busara ianmzidi mbali sana Bi. Mkora! Kwa kweli kwa uamuzi huo niko upande wake!Kwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...
kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.
Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Forced evictionKwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...
kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.
Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Mimi usinijumuishe humo kwa wapumbavu wanaoona kwamba huyu anatosha!watanzania wana imani na utumishi wa Daktari Samia.
Nimeusahau ila upoTuwekee huo Uzi hapa
Mkuu hiyo ndio demokrasia yenyewe, lazima uwe na ngozi ngumu kuvumilia wenye mtizamo ulio kinyumeMimi usinijumuishe humo kwa wapumbavu wanaoona kwamba huyu anatoaha!
Hana busara yoyote wamemlazimisha atoke ilikuwa waz toka kipind kile kawekewa msaidiiziKatumia busara sana! Hiyo busara ianmzidi mbali sana Bi. Mkora! Kwa kweli kwa uamuzi huo niko upande wake!
Baada ya uzinduzi wa darajaMaybe baada ya kikao kizito cha usiku wa giza... wakaamua kumuondoa kwenye EQUATION
Circumcision of died bodies for what purpose?I still repeat
No Man will be buried uncircumcised, as long as I'm still working at the mortuary
Wewe na familia yako labda. Sio kwa haya yote yanayoendelea ktk nchiwatanzania wana imani na utumishi wa Daktari Samia.
Uajatumia busara. Kuna fimbo ipo nyuma ya hayo maamuzi. Mara kadhaa alinukuliwa akisema bado anautaka ubunge. Swali linakuja, je angeupata na asiteuliwe kuwa waziri Mkuu, je angebaki bachbencher naye aanze kuomba muongozo wa spika?Katumia busara sana! Hiyo busara ianmzidi mbali sana Bi. Mkora! Kwa kweli kwa uamuzi huo niko upande wake!
Unaitwaje huo uzi?Hakuna uchaguzi huu mwaka kuna mtu aliandika uzi wa kutabiri haya yote humu jf sijui ule uzi haujafuta na mods..?
Wahenga walisema mengi hatutayamalizaAnyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Baada ya Gufuli kufa tuliambiwa tetesi za kuwa kulikuwa na wasimbe wa kisiasa ambao hawakutaka katiba ifatwe, hivyo basi kama ndivyo basi na yeye aweza kuwa miongoni mwao , hatima yake ya kionja joto ya wababe itakuwa imefika,Kwa jinsi keki ya mamlaka inavyo taste so delicious,So yummy ,so sugary 🎂 🥮... hakuna mtu anatamani aondoke kizembe.. watu wapo radhi wamwage damu amini nakwambia ili waweze ku maintain Power and influence ...
kizembe tu mtu anakwambia Sitagombea uenyekiti wa kijiji au uafisa mtendaji Kule uRuguay ambapo watu wake wanakuwa na Lindi la mawazo mda wote kutokana na msoto mkali.
Akili yangu ambayo hapa nahisi ishakuwa empty set inaniambia "Maybe" the formula one race grandprix itakuwa so brutal and Bumpy, so sisi washangiliaji inabidi "To brace for impact". Maana sio kwa kuaga huku haya mashindano kirahisi hivyo.... huu utamaduni hatuna tusidanganyane. Anyway lets wait and see what will Transipire next without spooking anyone.
Na spika mzanzibar.Nataman tupate waziri mkuu mzanzibar