demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,251
- 15,121
- Thread starter
- #21
Azam FC hajawahi kuanza msimu pasi na kuwa na mchezaji wa Yanga SC kwenye official squad yao.Bila ya kua na hao wachezaji wa Yanga,ni mwaka gani Azam walifika mbali Kimataifa na walifika hatua gani ?
Yanga acheni wachezaji waende kwa amani bado mnawaandama tu ?
Azam wanafeli wenyewe yule kocha wao hana mbinu yoyote
Bisha kwa kuleta uthibitisho.