Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,989
- 2,954
Muda wao bado
Na pia Silinde na Lijua Likali na yule naibu waziri wa habari. Wapo wengi wanadunda tu!
Muda wao bado
Sasa CCM unayoisifia inaingoza miaka nenda rudi kwa wizi wa kura ndio bora kwako?unatakiwa kupimwa akili
Katambi kwani ni msaliti au ni mtu aliyemaliza mission yakeKatambi na Mollel wanadunda tu
Atamaliza mission kwa Freeman?Katambi kwani ni msaliti au ni mtu aliyemaliza mission yake
Agreed 100%Uwaziri hawafiki 2025
Hajawahi kuwa na mission yoyote zaidi ya kuwa opportunist. Kitengo walifika bei akakubali kazi yao. Kwa sasa hawamuhitaji hata bure lazima wamtemeKatambi kwani ni msaliti au ni mtu aliyemaliza mission yake
I have never seen a "stupid looser" more stupid than you!
In your dander head you imagine throwing in all those silly words will make you look smart! You're not.
There's no fool like an old fool. Let alone an old bastard of your type. You're a shame. Arrogant imbecile and disgusting idiot. Why don't you keep quiet, when intellectuals are discussing national issues. You consider yourself a great thinker. Probably sycophant. You stoop very low indeed.
Losers not loosers. To lose ni kupoteza and to loose ni kulegeza. Loser ni mtu aliyepoteza kitu lakini looser ni mtu aliyelegeza kitu. So which word is correct in your context!
Rubbish. Bahati yako.Ungeleta tena za kuleta, leo ningefungiwa. I was ready to hammer you summarily. Mwadabishe mpumbavu asije jiona smart. Rungu lilikuwa tayari nikuponde na kukusaga tikitiki. Sijitutumui. Hunifahamu. Acha kujikweza na kujiinua. Ilikuwa niongee nawe lugha ya matukano maana hiyo ndiyo ujuayo. Sio kwamba hatuijui. Uungwana unatuzuia. Wewe huna cha kukuzuia. Mpumbavu hana simile!Umejitutumua. Pole.
Jengeni Chama sasa.Ewe Msaliti uliyehujumu Chadema na Wananchi waliokupa Uongozi , iwe Uongozi wa Kijiji , serikali za mitaa , udiwani , ubunge ama uongozi wowote ule kwa vile uliahidiwa Ukuu wa Mkoa , au Ukuu wa Wilaya , Ubalozi ama uliahidiwa chochote kile , basi kaa tayari kwa GHADHABU YA MUNGU JUU YA USALITI WAKO ULIOUFANYA , wala usije kumlilia mtu yeyote .
Sasa ni dhahiri kwamba kila msaliti atalipwa usaliti wake kwa kung'olewa kwenye uongozi aliopewa na Chama cha Ugenini , Hamuwezi kuwasaliti watu waliowapigania kwa jasho na damu kwa sababu ya vyeo vya kupita , mliwezeshwa kwa gharama ya maisha ya watu kuwa Wabunge na viongozi wa kuheshimika kwenye chama , sasa baada ya kununuliwa kijinga mkaamua mliyoyataka , sasa kaeni mkao wa kula , WANAFIKI WAKUBWA NYIE
Taarifa nilizonazo ni kwamba Tayari mikeka mbalimbali imeandaliwa na wale wale waliotumika kuwanunua , jiandaeni kung'olewa , Tulipowaambia Chadema ni MPANGO WA MUNGU hamkuelewa , sasa bila shaka AKILI ITAWAKAA SAWA .
KWA MUJIBU WA VITABU VITAKATIFU , USALITI NI LAANA INAYOTAFUNA HADI KIZAZI CHA NNE .
Chadema iko nchi nzima kuanzia mijini hadi maporini , tunasubiri kuanza mikutano ya hadharaJengeni Chama sasa.
Hali ya CCM yangu ni tete, werejesha old gang wakiamini bado wana ideas how to tame wananchi kwemye ballot box decision.
CHADEMA mnapaswa sasa kuondokana na siasa za uanaharakati mjenge state political movement.
Wasaliti watabakia kuwa wasaliti siku zote
CCM ipo nchi nzima na bado imeshindwa kuongoza vyema.Chadema iko nchi nzima kuanzia mijini hadi maporini , tunasubiri kuanza mikutano ya hadhara
Hoodlum. Get lost!Empty words. ???
Ningeielewa maana ya hii taarifa naamini ningeongeza maarifa!Taarifa nilizonazo ni kwamba Tayari mikeka mbalimbali imeandaliwa na wale wale waliotumika kuwanunua , jiandaeni kung'olewa , Tulipowaambia Chadema ni MPANGO WA MUNGU hamkuelewa , sasa bila shaka AKILI ITAWAKAA SAWA .