Dear even if you will let him go still yatammlowesha na moto WA Yesu pia atakutana now .. Trust me.. Ukimmhold utakosa ile package ya moto ... Please try to let him go and repent then utakuja kuniambia kitachommtokea ni zaidi ya hilo la kuloweshwa... But I know one thing you cant do on your own without God ... Ask God to heal you... Pole sana .. Thanks..Hapana, maumivu yale kidogo nione kifo hapana, machozi yale aliyofurahia kuyaona kipindi kile wacha yamloweshe.
Pole sana....lakini ukisamehe utajiona kama vile umezaliwa upyaa....trust me...Kinyongo nilichokibeba si rahisi kusamehe.
Unajua ni heri umuache mtu ikiwa amekukosea ama anakufanyia visa vya hapa na pale ambavyo havivumiki lakini from know where unamuacha mtu kisa papuchi/gegedo jipya tena wala hujali hisia zake....Very true.. There is nothing I hate very hate kama my time to be wasted ... Its better for that person to come clean Early .. It doesn't matter how much it hurts to tell the Truth but its better than pretend .. And then nakataa wenye nia njema.. Haki inauma sana .. So dear tuko wengi tuliotoka huko ... Acha nao wakutane na moto WA dhuluma on what they did to us... Thanks..
The fire of Jesus Lina mburn bado ...People like that hata waje kuoa ni lazima they will suffer .. Unless they repented to that person, God and be born again... . That's why I love this God... Anakuonyesha Fire here first in earth ( huu anasubiri uwe umesahau kidogo ulichokifanya ) before hujaonja ule WA juu uwiiiii... Lord help us.. Thanks ..Hayo yalinikuta 2013 mpwa.... Hii mambo ishia tu kusikia kwa jirani lakini kwako usiombe.
Kupitia hilo nimejifunza ukiamua kumsahau aliekuumiza na kufurahia maisha inawezekana kabisa.
Nilimpenda mno na sikutegemea kama ningeweza kumsahau ila yote hayo kwasasa yamebaki historia tu... Jamaa bado hajaoa na alivokua nyuma ni tofauti na sasa,na hapo ndipo ninakubaliana na Uzi wako huu....
Pole sana mpwa hayo ni mapito tu.....Hayo yalinikuta 2013 mpwa.... Hii mambo ishia tu kusikia kwa jirani lakini kwako usiombe.
Kupitia hilo nimejifunza ukiamua kumsahau aliekuumiza na kufurahia maisha inawezekana kabisa.
Nilimpenda mno na sikutegemea kama ningeweza kumsahau ila yote hayo kwasasa yamebaki historia tu... Jamaa bado hajaoa na alivokua nyuma ni tofauti na sasa,na hapo ndipo ninakubaliana na Uzi wako huu....
Unajua ni heri umuache mtu ikiwa amekukosea ama anakufanyia visa vya hapa na pale ambavyo havivumiki lakini from know where unamuacha mtu kisa papuchi/gegedo jipya tena wala hujali hisia zake....
Mbaya kucheza na hisia zamtu,sawa utamuumiza lakini muda utafika atapona ila usiombe kibao kigeuke kwako sahiyo mwenzio ameshapata wa kumsahaulisha na kumfuta machozi.
Kuna kitu kama hicho pia wengine ni malaana ya ukoo familia na VITI VYA ENZI wengine ni maagano,ushirikina na WENGINE NI MALANGOHabari za wakati huu ndugu na marafiki wapendwa wa Jamii Forums....
Ni siku nyingine tena tulivu ikiambatana na manyunyu ya hapa na hapa pale kwa sisi wakazi wa Dar......
Leo ningependa kuwashirikisha katika jambo muhimu sana ndugu zangu ambalo hata mimi binafsi ninaweza kuwa shahidi kabisa....
Kuna kipindi nyakati za nyuma kidogo nilitokea kumtamani binti fulani hivi ambaye tulikuwa tukiishi nae karibu na nilipokuwa nikiishi mimi...kusema ukweli huyu mimi sikumpenda isipokuww nilikuwa namuhitaji kwa ajili ya kukidhi matakwa yangu ya kimwili, kutokana na ushawishi mkubwa nilifanikiwa kumnasa yule binti na tukaanza kushiriki ngono huku yeye akijua kuwa mimi ndiye mumewe mtarajiwa.....yule binti alikuwa ni binti mwenye kujitegemea maana alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni fulani kubwa hivi ya kigeni kwa hiyo suala kipato alikuwa tatizo kwake....alichokuwa anakihataji ni mapenzi au mume ambaye aliamini kuwa ameshampata.....
Baada ya kukidhi haja zangu nikaanza kumkwepa kwa maana nilimuona kama ni kero vile kwangu.....yule dada nilimpa wakati mgumu sana kwa mabadiliko yale....na alikuwa akilia mbele yangu mara kwa mara akinisihi nisimuache lakini mimi sikuelewa lolote lile....yule mwanamke akakata tamaa na akaamua kuachana na mimi lakini alinitamkia maneno mazito sana kuhusu maisha yangu....ambayo nilianza kuyaelewa maana yake baada ya mwezi kupita tangu kukata mawasiliano naye.......
Niliona ghafla mambo yangu yanabadilika na kuwa mabaya kabisa....biashara zangu nyingi sana zilikwama mpaka nikawa nakosa hata hela ya kula......ile hali ikanishtua sana maana haikuwa kawaida ikabidi kuahangaika katika mambo ya kiswahili ndipo wataalamu waliponifunulia kuwa kuna mtu ana kinyongo na wewe kwa hiyo unatakiwa ukamiombe msamaha maana ndio njia pekee ya wewe kuondokana na mikosi hiyo maana hakuna aliyeniroga.....
Ikanibidi kwa unyonge kabisa nijipendekeze kwa yule binti na kuanza kujenga naye ukaribu upya na kuomba misamaha mingi sana....
Baada ya muda nikaona mambo yanaanza kubadilika na kuwa kama kawaida.....
N:B Dhumuni la mimi kushare kisa hiki ni kuwaasa vijana kuwa kama mwanamke huna mipango naye ya muda mrefu basi usimpotezee muda wake bure maana utamuacha na sononeko ambalo litakuletea mikosi kwenye maisha yako.....wapo vijana wasomi wanaohangaika kutafuta kazi takribani miaka kumi....wapo vijana wanaojaribu kuanzisha biashara zao lakini huwa zinakufa.....wapo vijana wanaofukuzwa kazi katika mazingira ambayo hata yeye hawayaelewi...hizi ni moja ya athari za watu waliokuwa na vinyongo na wewe.....
Stuka kijana
Huyu azidi kuitwa Mungu my dear,humpatia kila mtu iliyo haki yake. Kila mtu huvuna alichopanda Tuwe makini sana na vile tuwatendeavyo wengineThe fire of Jesus Lina mburn bado ...People like that hata waje kuoa ni lazima they will suffer .. Unless they repented to that person, God and be born again... . That's why I love this God... Anakuonyesha Fire here first in earth ( huu anasubiri uwe umesahau kidogo ulichokifanya ) before hujaonja ule WA juu uwiiiii... Lord help us.. Thanks ..
Amen.. Very true haswa kwenye mioyo, hisia, mapenzi na mahusiano... Thanks...Huyu azidi kuitwa Mungu my dear,humpatia kila mtu iliyo haki yake. Kila mtu huvuna alichopanda Tuwe makini sana na vile tuwatendeavyo wengine
Ni vigumu kujua kuwa dunia ina mambo hadi litakapo kukuta jambo....Mmmmh hamna cha laaana wala nini kwanza hao wanawake wanajuaga tu kuacha laaana lakini hawajui kuachapesa ulizo qahonga mda wote wa mahusiano alafu mkuu kama alikuacha biashara zikayumba vpi kama angekuacha ukiwa mfanyakazi wa serikali inamaana mshahara usingeingia. Hamna kitu kama laana yote hayo ni menta creation thing. Mamaako hakukuachia laana Yesu alikuja kufuta maagano na laana hakuna mtu anaweza kukulaani ifute kwa jina la Yesu hakunaaaaaaaaaaaaaaaa.
vipi wanaume hatuna laana?
Teh maana hapo kwenye hisia ni majangaAmen.. Very true haswa kwenye mioyo, hisia, mapenzi na mahusiano... Thanks...
Unapaswa kusamehe coz kwa namna nyingine unaumia kuona yupo ivyo kwa sasa kwa sababu unampenda thus why hauwez msamehe .. Msamaha ni njia sahihi ya mafanikio kwako na kwake.. Naamin 80% ya vijana wa saiz kuanzia 20-35yrs wengi wao wana kidonda cha kuumizwa kwa jinsia zote mbili iwe ameoa, kuolewa au yupo ndan ya mahusiano..Hakuna kitu kinauma kama kupotezewa Muda, Ex wangu hadi leo pamoja na kuwa na kazi nzuri maisha yake hayaeleweki, kwenye mahusiano ndo usiseme, nabado napiga goti kwa Mungu siku atakayorudi kuomba msamaha kwakunikosea ndo amwachilie.
Mama, mamaaa acha tuu dear I don't want to remember it again... Thanks...Teh maana hapo kwenye hisia ni majanga
Hisia zimekua changamoto nyingine ndiomana wakati mwingine zinatuponza. Kila mara unapenda kujaribu kwingine bila kukumbuka kwamba hata huyu unaemuona hakusisimui leo nae alikua anaweka moyo wako hot muda wote mlipoanza....