Huwezi kudhulumu,shamba la MTU kama mzee alfu ukalala usingizi nzuriukame hauta sababiswa na sumaye kunyang'anywa shamba ila kama serikali imetumia mabavu kumnyang'anya wakati ni haki yake litakuwa si jambo jema hata kidogo
haki ya mtu haipotei aende mahakamani.
Ni baba ako????maana una POVU kweli...Mwakani kutakuwa,na ukame,na moja ya sababu ya ukame ni dhuluma ya shamba la mzee sumaye
Mungu hawezi kuwataabisha watanzania milioni kadhaa kisa mtu mmoja aliye pokwa shambaHuwezi kudhulumu,shamba la MTU kama mzee alfu ukalala usingizi nzuri