mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,973
- Thread starter
- #21
Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga!Ni kweli laana inawezekana ipo,kuna dada mmoja alikua anafuatwa ili aoelewe.Kila aliyemuaprochi anamkatalia wakati yuko singo,wamwisho alikua tajiri mmoja hapa town.Nayeye alitoswa,alimuambia utanikumbuka.Mpaka sasa huyo dada kafika 42,bila mume wala mchumba. Sasa ana psychological problem,
Dah!!!.!.