mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,973
Bandugu,
Nimekuwa nikijiuliza swali hili sipati jibu.Hivi kuna uhisiano wa mkosi na kumuacha au kuachwa na yule ambaye mlishakubaliana kuwa atakuwa au angekuwa ubavu wako?Wengi wetu tumekuwa tukidhani na pengine kuwa na fikra kuwa,kitendo cha kumbwaga yule mtu aliyeweka matumaini juu yako kinaweza kuleta mkosi na pengine laana katika maisha yako ya mahusiano.
Nimekuwa nikijiuliza swali hili sipati jibu.Hivi kuna uhisiano wa mkosi na kumuacha au kuachwa na yule ambaye mlishakubaliana kuwa atakuwa au angekuwa ubavu wako?Wengi wetu tumekuwa tukidhani na pengine kuwa na fikra kuwa,kitendo cha kumbwaga yule mtu aliyeweka matumaini juu yako kinaweza kuleta mkosi na pengine laana katika maisha yako ya mahusiano.