Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

I hope mko ok humu. Mwenzenu akili yangu imevurugika baada ya masikio yangu kusikia kishichosikika. Kwa wakati huu niko kwenye jiji moja maarufu hapa tz. Mzee wangu yuko kwenye his early 40's na mamkwe pia yuko kwenye age hizo hizo. Sasa tuko na mzee wangu tangia mwezi wa nne, kuna maswala yake fulani anazifuatilia hapa town. Mamkwe wangu pia ana kama wiki tatu sasa, alikuja baada ya binti yake kuugua kidogo na kuwaona wajukuu zake. Kwangu tumeshajenga nyumba yenye vyumba vingi tu vya kutosha , kwa hiyo mzee wangu analala kwenye chumba chake, mamkwe pia pamoja na housegirl naye analala kivyake. Sasa juzi baada ya taifa stars kuniharibia siku, nkaenda zangu kulala huku hawa wazazi wetu pendwa wakiendelea kucheki muvi pamoja na mjakazi wetu. Sikubahatika kupata usingizi haraka ikanibidi nizame jf kidogo ili nipunguze stress kidogo. Sasa ilipofika mida ya saa sita hivi nkapata warning ya betery low na chaja mpaka sebuleni. Sasa kipindi naenda sebuleni kwenye korido ya chumba anacholala mamkwe nkasikia sauti ile ya mahaba kwa mbaali. Yaani walikuwa kwenye climax. Mama yangu!!!! Nilijiuliza maswali mengi huku nikiganda pale pale. Gafla nkasikia sauti ya mzee akikohoa kwa mbali. Daaaaaah!!! Niliishiwa nguvu ghafla hata chaja nkashindwa kwenda kuchukuwa nkarudi zangu chumbani. Mke wangu alikuwa na shift ya usiku kwa hiyo hakwepo kwa muda huo. Sijamwambia chochote ila hii swala inanitesa kweli kweli. Mzee wangu huwa ni mhuni namjua vizuri ila kwa nini afanye kitu kama hii ndani mwangu? Alafu kwa mamkwe???? Nimuitaje sasa mamkwe? mamdogo? Au mzee wangu ndo hivo tena amekuwa bamkwe? Jamani naombeni ushauri wenu akili yangu haufanyi kazi.
Mama Mkwe ni mama yako ujue, MSINGI alikuwa anakolezea undugu
 
Baba yako yupo kwenye 40s nawe tayari umeshaoa, Hope age yako ni below 23 Na mkeo atakuwa below 20
By the way mzee kupiga Mama mkwe sidhani kama ni noma ni kawaida tu hiyo huyo ni mzazi mwenzie
 
Hii stor ni ya kitot sana. Dingi yupo early 40's. Je wew una umri gan? Bila shaka wew una early 20's or late 10's ndo ue umeoa sawa(posible) Umejenga nyumba yenye vyumba vingi tu? Kwa maisha aya haiwezekan kwa kijans wa late 10's au early 20's. Jipange uje na Stor inayodanganyika vizur
 
Tatizo lako kijana unadhani kwa umri kama wa mzee wako hawahitaji radha!
Wewe unapojifungia na mkeo unajiona mjanja kuliko mzee sioo?
Mzee yupo kwako kitambo unadhani hizo makinikia zikae ndani kwake tu bila kuzitoa?

Hajafanya kosa kutafuna mtu asiye ndugu yake.
Nimekuelewa mkuu. Ila isingekuwa ndani mwangu jamani.
 
Kwani mama Mkwe wako ni Mama mkwe wa Baba yako pia
Ingesema yenyewe kwa kugoma kudisa kama ingekuwa Norma
Bado wote ni wazazi wako tena daraja la MamaMkwe limepanda. Mwanamke aliyona utupu wa baba yako ni Mama Yako
Ikikuuma nawe lipiza kwa mtoto wake yaani mkeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom