La Zitto Kuvuliwa Nyadhifa CHADEMA: Mhe. Zitto, Please! Play It Cool!-Usijibizane Mitandaoni!.

Lemutuz bana hahhaaaa eti na wewe kimekuuma,mwenzio amepewa siku 14 ajieleze, wewe unamshauri ajieleze kabla hata masaa 24 hayajapita tena jamiiforum,tweeter na fb?unafikiri chadema wanamasihara tena naye?hata Zito mwenyewe anajua hapa hakuna masihara tena.kama CCM wangekuwa serious hata kwa asilimia kumi tu ya hawa jamaa tungekuwa mbali sana.
 
Wanabodi,

Matokeo ya Kikao cha Kamati Kuu Chadema, kilichokaa kwa siku mbili, tayari yameisha vuja mitandaoni, haswa mtandao huu wa "be the first to know!-jf!. Naamini taarifa hizi, zimetangulia taarifa rasmi, na hizo barua za kujieleza ndio zitaandikwa leo!. Kwa vile Zito ni Mtu wa Mitandao, atakuwa tayari ameisha ulizwa mara 100, kama ni kweli na nini comments zake!, namuomba awe calm and play it very cool!, kwa kujibu "Ni kweli, na mimi nimezikia hivyo hivyo!, at the moment kwa vile sijapokea barua rasmi, "I reserve my coments!".

Taarifa yenyewe

Mkuu Mungi, asante kwa taarifa. Nasubiria taarifa rasmi ya JJ.Mnyika itakayoshushwa humu mtandaoni ama na yeye mwenyewe, au na Mkuu Tumaini Makene, ndipo ni comment. To me, kinacho matter ni the reasons behind, na kama hatua zilizochukuliwa ni the "right thing", done on "the right time" and if "done right", then no complain, to some of us, Zitto is more than Chadema!, kwani cheo cha Zitto kwa Chadema ni nini?!, yeye bado ndiye Mwenyekiti wa PAC!.
Kitu kizuri ambacho Zitto anacho, na viongozi wengi wa Chadema hawana ni "The Powers from Within!", (Kuhusu powers reffer mada yangu ya Powers: Ni Nguvu za Kufanya Mambo!.), hivyo Zitto bila cheo, is better than Zitto mwenye vyeo!. Sasa Zitto ni kama Zuma, sio tuu kwenye Uenyekiti wa Chadema, bali hata "Urais" kwa Tiketi ya Chadema!, "Ama Zao, ama Zetu" "Mpaka Kieleweke!", nahisi Prof. Safari "hili" aliisha listukia siku nyingi!, ndio maana amejikalia kimya!, wakataka kumchoropoa Brof. Beregu kwenye Tume ya Katiba, Beregu akawagomea!.

Mkuu ZZK, naamini unasoma uzi huu!, Please usijibishane kabisa na uongozi kupitia mitandao!. Pigania tuu haki yako ndani ya Chadema!, kama sababu za uamuzi ni halali, uamuzi huo umefuata sheria taratibu na kanuni, baki kuwa mwanachama wa kawaida tuu kwa sababu its expected uta fight back!. "You Against Them" is not gonna be a good fight!. Huwa nawashauri watu, "Don't Fight a Loosing Battle!" "If you can't beat them, join them!" "jikusanye, jijenge upya!, when you decide to strike!, you hit them with a big blow!, where it hurt most!"

Mimi sio mwanachama wa Chadema, ila ni mmoja wa wanaokiendesha Chadema kwa fedha zetu!, tukiona Chama kinapelekwa pelekwa tuu kwa kadri "watu" wanavyotaka!, hatuwezi kunyamaza!.
Pasco.
Wewe ni mtu wa kukurupuka tu na mfuasi wa mafisadi!.... Hujapata sababu umeisha conclude kipepo pepo!
 
ZZK mwisho wake kisiasa ndo umefika CDM baada ya siku 14 apigwe chini that wil be a score, zito hana uwezo wa kuanzisha chama ingine coz itakua threat kwa mabosi wake CCM alternatively awajoin magamba na ndoanakokwenda kumalizikia na ndo salama yake tu kwa sasa. CDM neva west this chance Dogo apigwe chini!
 
we unaejiita pasco nadhan siasa huijui badala yake we ni shabiki wa mtu fulan unaemtaja....pole sana...
 
Mtaandika weeeeee lakini biashara ya Zitto imefungwa na sasa ndio mtajua kama Zitto anaweza kuwa smart kuliko Chama.

kwa hali hii CHADEMA itaendelea kuitwa tu na rais kutoka CCM au chama kingine, kazi yao itakuwa maandamano yasiyo na tija na kutoka bungeni kwa kuhofia aibu. mmh! kweli hiki c chama cha siasa, ni chama cha kufa na kuzikana cha wachaga. Poleni
 
Last edited by a moderator:
Watamjua Zitto ni nani!! Time will tell!

ZZK hana lolote, kama sio kukumbatiwa na mfumo huyu jamaa ni mweupe sana.
Nilimkubali kabla hajachakachuliwa 2005, lakini huyu ZZK wa sasa ni kimeo hata sina hamu nae kabsaa...

Halafu hii huwa inanisikitisha sana, hivi huyu jamaa alikuwa na haraka gani mpaka akaharibikiwa hivi? Angeweza kuwa kiongozi mzuri sana kama sio kutumiwa kijinga hivi.....Tamaa mbaya sana..

Mtu unasifiwa na adui yako halafu unachekelea tu? Sasa nje ya CDM ndo atajua thamani yake halisi kwa hao waliokuwa wanamsifu... Wapi Dr Kaborou, Shonz, Mwampmb et al?
 
Ushauri mzuri sana mkuu Pasco, zitto lzma akubali kulay low kw kipindi iki, zito ni zaid ya chadema

Kama ilivyo Lowasa kuwa zaidi ya CCM!!!???? ha ha ha ! Ndo maana huwa wasaliti wakijua hakuna wa kumgusa!! Sijajua kama pasco ni mtu mzima au kakijana fulani fresh frm form II.
 
Ulipotolewa waraka ulioeleza kuwa Zitto kahongwa, vilaza wengi hapa JF mlisema kama mnajua kahongwa mbona havuliwi nyazifa zake?!
Sasa kavuliwa nyazifa mnaibuka na mapya.
Chadema isingeheshimika kama isingefanya uamuzi huu mgumu, bila kujali kelele zitakazojitokeza kwa watu wasiotumia vichwa kuwaza.
Huu ni wakati wa kuimarisha chama kwa kukipa heshima mbele ya jamii kabla ya kuingia kwenye uchaguzi mkuu wa chama mwakani na baadaye uchaguzi mkuu wa nchi yetu.
Hata hayati Mwl. Nyerere alisema ukituhumiwa tu kula rushwa inapunguza imani juu yako, hivyo kwa Chadema huu ni uamuzi mzuri sana na wa kupongezwa.
Binafsi, Chadema isingechukua hatua kali dhidi ya watu hawa, ningesononeka sana.
Haya, kunja ngumu kisha sema
People'ssssssssss!!!!!!
 
Kweli sikio la kufa halisikii dawa, Chadema wameshindwa kujifunza kutokana na historia! It may be the begining of an END.
 
Wanabodi,

Matokeo ya Kikao cha Kamati Kuu Chadema, kilichokaa kwa siku mbili, tayari yameisha vuja mitandaoni, haswa mtandao huu wa "be the first to know!-jf!. Naamini taarifa hizi, zimetangulia taarifa rasmi, na hizo barua za kujieleza ndio zitaandikwa leo!. Kwa vile Zito ni Mtu wa Mitandao, atakuwa tayari ameisha ulizwa mara 100, kama ni kweli na nini comments zake!, namuomba awe calm and play it very cool!, kwa kujibu "Ni kweli, na mimi nimezikia hivyo hivyo!, at the moment kwa vile sijapokea barua rasmi, "I reserve my coments!".

Taarifa yenyewe

Mkuu Mungi, asante kwa taarifa. Nasubiria taarifa rasmi ya JJ.Mnyika itakayoshushwa humu mtandaoni ama na yeye mwenyewe, au na Mkuu Tumaini Makene, ndipo ni comment. To me, kinacho matter ni the reasons behind, na kama hatua zilizochukuliwa ni the "right thing", done on "the right time" and if "done right", then no complain, to some of us, Zitto is more than Chadema!, kwani cheo cha Zitto kwa Chadema ni nini?!, yeye bado ndiye Mwenyekiti wa PAC!.
Kitu kizuri ambacho Zitto anacho, na viongozi wengi wa Chadema hawana ni "The Powers from Within!", (Kuhusu powers reffer mada yangu ya Powers: Ni Nguvu za Kufanya Mambo!.), hivyo Zitto bila cheo, is better than Zitto mwenye vyeo!. Sasa Zitto ni kama Zuma, sio tuu kwenye Uenyekiti wa Chadema, bali hata "Urais" kwa Tiketi ya Chadema!, "Ama Zao, ama Zetu" "Mpaka Kieleweke!", nahisi Prof. Safari "hili" aliisha listukia siku nyingi!, ndio maana amejikalia kimya!, wakataka kumchoropoa Brof. Beregu kwenye Tume ya Katiba, Beregu akawagomea!.

Mkuu ZZK, naamini unasoma uzi huu!, Please usijibishane kabisa na uongozi kupitia mitandao!. Pigania tuu haki yako ndani ya Chadema!, kama sababu za uamuzi ni halali, uamuzi huo umefuata sheria taratibu na kanuni, baki kuwa mwanachama wa kawaida tuu kwa sababu its expected uta fight back!. "You Against Them" is not gonna be a good fight!. Huwa nawashauri watu, "Don't Fight a Loosing Battle!" "If you can't beat them, join them!" "jikusanye, jijenge upya!, when you decide to strike!, you hit them with a big blow!, where it hurt most!"

Mimi sio mwanachama wa Chadema, ila ni mmoja wa wanaokiendesha Chadema kwa fedha zetu!, tukiona Chama kinapelekwa pelekwa tuu kwa kadri "watu" wanavyotaka!, hatuwezi kunyamaza!.
Pasco.

Pascokwa mara nyingine nimemuona Pasco ninaye mjua in real life .Pasco mwenye busara .Maneno haya Zitto alitakiwa ayajue mapema.Na naamin ushauri huu ni mzuri .Tunamtakia yeye na Chadema kila jambo jema .Majibizano hya mintandaoni hayana tija maana viongozi wake ama viongozi wenzie hawatumii mitandao kusema naye.Time sasa kukaa mezaa moja na kumaliza hili .
 
Wanabodi,


Taarifa yenyewe

Zitto is more than Chadema!, kwani cheo cha Zitto kwa Chadema ni nini?!, yeye bado ndiye Mwenyekiti wa PAC!.
Kitu kizuri ambacho Zitto anacho, na viongozi wengi wa Chadema hawana ni "The Powers from Within!", (Kuhusu powers reffer mada yangu ya Powers: Ni Nguvu za Kufanya Mambo!.), hivyo Zitto bila cheo, is better than Zitto mwenye vyeo!.


Mkuu ZZK, naamini unasoma uzi huu!, Please usijibishane kabisa na uongozi kupitia mitandao!. Pigania tuu haki yako ndani ya Chadema!, kama sababu za uamuzi ni halali, uamuzi huo umefuata sheria taratibu na kanuni, baki kuwa mwanachama wa kawaida tuu kwa sababu its expected uta fight back!. "You Against Them" is not gonna be a good fight!. Huwa nawashauri watu, "Don't Fight a Loosing Battle!" "If you can't beat them, join them!" "jikusanye, jijenge upya!, when you decide to strike!, you hit them with a big blow!, where it hurt most!"

Mimi sio mwanachama wa Chadema, ila ni mmoja wa wanaokiendesha Chadema kwa fedha zetu!, tukiona Chama kinapelekwa pelekwa tuu kwa kadri "watu" wanavyotaka!, hatuwezi kunyamaza!.
Pasco.

Nadiriki kusema ushawishi na matarajio haya ya kijinga ndiyo humpotezea mhusika mwelekeo.
Kiufipi ulichokiweka ni sawa na "sisitaki mbichi hizi" sijui hii hadhithi ilikuwa darasa la ngapi!


Zitto is more than Chadema!, kwani cheo cha Zitto kwa Chadema ni nini?!,

Ila kwa upande mwingine kwa hili pamoja na kuwa Zitto na wapambe wake wamechelewa sana kuishi katika mwenendo huu unaoshauri lakini ni vizuri wakaanza sasa.
Please usijibishane kabisa na uongozi kupitia mitandao!.


CHADEMA IS MORE THAN ZITTO TAKE IT OR NOT!
 
Kweli sikio la kufa halisikii dawa, Chadema wameshindwa kujifunza kutokana na historia! It may be the begining of an END.

Fafanua kaka .Chadema ni Umma na si uongozi nadhani wewe ndiye hujaelewa. Una post 9 tu unaanza na Chadema ?Wamesha fanya maamuzi kama Chama sasa tunangojea Chadema ife kwa ajili ya maamuzi yao .
 
nimepata kuseama mara nyingi kuwa Chadema suo sehamu muafaka ya watu wenye akili kama Zitto na Kitila kukaa ndani yake na ukweli umeanza kuthibitishwa rasmi
 
:d zitto kabwe amelewa pesa alizoongwa na ccm... Kafungwa mdomo... Timua huyo hatutaki wanafiki. Chadema ni watu wa misimamo sio wa kuteteleka kama ccm... Peopleeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom