alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Huu sasa ni ujinga kama si uzwazwa!
Mda huu jambo ambalo mlipaswa kuonyesha kwa nguvu na namna hasa ya kudhihilisha matamko na nia zenu ni la kumpambania Mbowe atoke huko aliko.
Ajabu na kudhihilisha umburula wenu eti vile mulivyotuaminisha kwamba Mbowe kwa jasho na damu baada tu ya usiku wa mkesha wa tarehe moja mtaanza kuipambania demokrasia na wafungwa wa kisiasa lkn wapi!
Leo Assad ndiyo Mbowe?Leo CAG ndiyo mfungwa wa kisiasa!?
Narejea tena kauli yangu nyinyi hamna lolote zaidi ya kuwa watu wa mikumbo na vi-tukio!Bado sana katika kuyaishi na kuyaheshimu maazimio yenu.KIFUPI,NYINYI NI WAOGA ZAIDI YA KUNGURU!
Haya Mbowe endelea kupambana na hali yako wenziyo huku wako na Assad..hahahahaha!
Mda huu jambo ambalo mlipaswa kuonyesha kwa nguvu na namna hasa ya kudhihilisha matamko na nia zenu ni la kumpambania Mbowe atoke huko aliko.
Ajabu na kudhihilisha umburula wenu eti vile mulivyotuaminisha kwamba Mbowe kwa jasho na damu baada tu ya usiku wa mkesha wa tarehe moja mtaanza kuipambania demokrasia na wafungwa wa kisiasa lkn wapi!
Leo Assad ndiyo Mbowe?Leo CAG ndiyo mfungwa wa kisiasa!?
Narejea tena kauli yangu nyinyi hamna lolote zaidi ya kuwa watu wa mikumbo na vi-tukio!Bado sana katika kuyaishi na kuyaheshimu maazimio yenu.KIFUPI,NYINYI NI WAOGA ZAIDI YA KUNGURU!
Haya Mbowe endelea kupambana na hali yako wenziyo huku wako na Assad..hahahahaha!