VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mabao mawili ya Messi,moja la Adriano na moja la David Villa yalitosha kuipa ushindi Barcelona wa 4-1 nyumbani kwa Getafe. Bao la Getafe ni la kujifunga la beki Javier Mascherano. Wakati huohuo,Real Madrid chini ya 'The Only One' ilikandikwa 1-0 ilipocheza ugenini kwa Sevilla. Ni bao la dakikika ya 6. Sasa Madrid yazidiwa alama 8 na Barcelona. Ni hayo tu Wakuu...