cosmonaut
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,392
- 2,749
Shukrani .....My bad budy ina kama episode 11 hv kama sijakosea.. Hua sipakui sirizi mm either ninunue au nipewe. Hii S3 nimeletewa hata Link ya kupakua sifahamu mkuu..
Shukrani .....My bad budy ina kama episode 11 hv kama sijakosea.. Hua sipakui sirizi mm either ninunue au nipewe. Hii S3 nimeletewa hata Link ya kupakua sifahamu mkuu..
Season 2 ina episode 9,season 3 ina ep 8.Mkuu season 2 Ina episode ngapi!?? Nmeishia s02 episode ya 8(Tokyo karudi benk na boda,Moscow shot, professor kamzimsha Raquel),
ila s01 zilikuwa Kama 16 hivi... Naomba link bas ya kushusha mzigo
,Link ya kushushia mzigo mkooSeason 2 ina episode 9,season 3 ina ep 8.
,Link ya kushushia mzigo mkoo
Ila uwe unatumia torrent,Link ya kushushia mzigo mkoo
Haha mzee kweli we big fan wa hii series...Hii kitu usiichezee..View attachment 1184669
Kama hujaona S3 pleaaaaase usiangalie, narudia tena usiangalie.. Subiri mwakani ikishatoka S4 uziangalie pamoja! Utakonda kwa arosto..Muvi imeishia penye kusisimua mno. Kingine Professor ni fala sana hadi anaboa muda wote anatetemeka na kulia.
Mwanaume ni Palermo pekee
Palermo ndiyo Berlin mkuu!!??!!Kama hujaona S3 pleaaaaase usiangalie, narudia tena usiangalie.. Subiri mwakani ikishatoka S4 uziangalie pamoja! Utakonda kwa arosto..Muvi imeishia penye kusisimua mno. Kingine Professor ni fala sana hadi anaboa muda wote anatetemeka na kulia.
Mwanaume ni Palermo pekee
No. Palermo ni Character mwingine mpya ambae ndio incherge sasa ivi. Ila alikua rafiki yake Berlin (Alikua anampenda kimapenzi coz ni shoga). So issue nzimq A3 wanalipiza kisasi cha kifo cha Berlin kwa mgongo wa kumuokoa Rio. Imeishia Nairobi kapigwa risasi, Raquel kakamatwa, wanajeshi wanavamia Benki, Profesa analia hana la kufanya... Yaani qlosto tu subir itoke S4 uziangalie pamojaPalermo ndiyo Berlin mkuu!!??!!
No. Palermo ni Character mwingine mpya ambae ndio incherge sasa ivi. Ila alikua rafiki yake Berlin (Alikua anampenda kimapenzi coz ni shoga). So issue nzimq A3 wanalipiza kisasi cha kifo cha Berlin kwa mgongo wa kumuokoa Rio. Imeishia Nairobi kapigwa risasi, Raquel kakamatwa, wanajeshi wanavamia Benki, Profesa analia hana la kufanya... Yaani qlosto tu subir itoke S4 uziangalie pamojaPalermo ndiyo Berlin mkuu!!??!!
Baada ya kuanza kula mzigo kwa Inspector aliacha kutetemeka, ila ni mtu mwènye pressure sana sababu y upendo kwa team yakeKama hujaona S3 pleaaaaase usiangalie, narudia tena usiangalie.. Subiri mwakani ikishatoka S4 uziangalie pamoja! Utakonda kwa arosto..Muvi imeishia penye kusisimua mno. Kingine Professor ni fala sana hadi anaboa muda wote anatetemeka na kulia.
Mwanaume ni Palermo pekee
,Link ya kushushia mzigo mkoo
Penzi kitovu cha uzembe,Hahaa prof ana fail maana sa hivi hata Arturo anamzidi ujasiri,yani heist yote imekuwa compromised kisa kuchanganya kazi na mapenzi.Kama hujaona S3 pleaaaaase usiangalie, narudia tena usiangalie.. Subiri mwakani ikishatoka S4 uziangalie pamoja! Utakonda kwa arosto..Muvi imeishia penye kusisimua mno. Kingine Professor ni fala sana hadi anaboa muda wote anatetemeka na kulia.
Mwanaume ni Palermo pekee
Kweli kabisa hii series inathibitisha huo msemo na Msemo wa Things fall apart..Penzi kitovu cha uzembe,Hahaa prof ana fail maana sa hivi hata Arturo anamzidi ujasiri,yani heist yote imekuwa compromised kisa kuchanganya kazi na mapenzi.
Wameharibu maana sa hivi wamekuwa kama waharifu wengine ile sympathy ya raia hawana tenaKweli kabisa hii series inathibitisha huo msemo na Msemo wa Things fall apart..
Profesa sijui yuko vipi yaani. Muda wote wasiwasi.. ajifunze kwa Berlin na Scolfied. Nachompendea Palermo hua hana maneno mengi ni kutoa amri tu!
Tatizo plan ya sasa hivi haukuwa yake. Ndo maana haiamini 100% yaani yuko 50% 50% ndo maana walivyomdanganya kuwa wamemuua lisboa hapo hapo katoa order ya kushambulia kifaru. Ingekuwa ni Plan yake basi hadi hilo angekuwa amelicalcukate.Kweli kabisa hii series inathibitisha huo msemo na Msemo wa Things fall apart..
Profesa sijui yuko vipi yaani. Muda wote wasiwasi.. ajifunze kwa Berlin na Scolfied. Nachompendea Palermo hua hana maneno mengi ni kutoa amri tu!
Sio wahalifu tu, wamekua magaidi maana walipiga mabomu wanajeshi wakakipata kilichowakuta msamvuWameharibu maana sa hivi wamekuwa kama waharifu wengine ile sympathy ya raia hawana tena
Pia hakujiandaa ndio maana alipenda apewe hata muda wa miezi mi4 ili apange... kiukweli pro kashafeli, raia hata wakichomoka mle ndani lazima wengi wadedi...Tatizo plan ya sasa hivi haukuwa yake. Ndo maana haiamini 100% yaani yuko 50% 50% ndo maana walivyomdanganya kuwa wamemuua lisboa hapo hapo katoa order ya kushambulia kifaru. Ingekuwa ni Plan yake basi hadi hilo angekuwa amelicalcukate.