Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
.
Ndiyo, ushindi wake umenifurahisha sana,Lakini baado ninawasiwasi na kuondolewa jina lake.Kumbuka kuwa kyela kulitokea kashfa za kadi feki zaidi ya 10,000 na nasikia mbunge zilimlenga moja kwa moja. Na taarifa zemepelekwa wilaya,mkoa na kitaifa.
Masanilo kweli wewe inakuingia akilini kwamba jimbo la kyela linawanachama wa ccm zaidi ya 20,000 na waliopiga kura za maoni ni 20,000.wewe ni mwalimu sijui hapo kama hakuna combinations za figure.
Hapa kwetu mwanza(Nyakato -Buzuruga) ni salama kabisa.Tumechagua mbunge wetu kwa hali mpya na moyo mmoja.
Tupo pamoja! Lakini hapana
Ila mkuu yale yale yakujifanya unanijua, mimi tokea lini nikawa mwalimu wa Madras? Ama wataka kusema kura 10,000 zilitumika? Mbona la wakati wa kampeni wapiga kura kuondoka baada ya Dr Mwakyembe kuongea, hulisemi. Play smart what you want to deliver. Haitakaa itokee chini ya Mbingu jina la Mwakyembe kuondolewa. Keep my writings hapa