Babu mkubwa bachela,wajomba watatu marehemu walikufa mabachela,mashangazi wawili marehemu walikufa bila watoto. na hapa mimi hapa bachela tayari na mimi ndoh mtoto tu kwetu.baba yangu ndoh mtoto tu kwao. mimi ndoh nategemewa kuoa ila siwezi oa nataka kizazi kiishie kwangu.bachela forever!