Kwenye ustaarabu, jamii ya Waarabu wanaongoza

Kwenye ustaarabu, jamii ya Waarabu wanaongoza

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,027
1. Mavazi.
2. Ulaji wa chakula.
3. Salamu
4. Heshima ya mke kwa Mume

Mwanamke hatakiwi kufanya kazi mwanaume kazi yake kupeleka huduma.

Hapa nimependa. Mwanamke akiwa na kibarua ni mtihani sana kwenye malezi ya watoto.. Ukizingatia mahouse girl wanavyosumbua na heshima ndani hakuna...

Ongeza mengine tuwape heshima yao
 
1.mavazi.
2.ulaji wa chakula.
3.salamu
4.heshima ya mke kwa Mme ...mwanamke hatakiwi kufanya kazi mwanaume kazi yake kupeleka huduma..hapa nimependa...mwanamke akiwa na kibarua ni mtihani sana kwenye malezi ya watoto..ukizingatia mahouse girl wanavyosumbua na heshima ndani hakuna...
Ongeza mengine tuwape heshima yao
Umesahau hii, Wanajali sana wafanya kazi wa ndani, haswa wa kutoka kwenye ukanda wetu.
 
Makafiri kama nyie ndo mnasababisha ugomvi.

Kwa maneno kama haya kwanini ugomvi usitokee?
Upo sahihi Mkuu,
Jamaa Ana dharau imani za wenzake kwa dhihaka kabisa,

Hivi kulikuwa na ulazima wa kuyasema hayo aliyosema?
 
Tatizo hilo linatokana na serikali yetu haina misingi ya ajira kwa wananchi wake. Huwezi kumuona mu Indonesia anafanya kazi za ndani nchi za kiarabu. Halafu hata sisi wenyewe tunawafanyia ukatili hawa wadada wa kazi na kuwabaka kama watumwa wa ngono.
Are you sure? hapana bana, hebu soma wafanyakazi za ndani Hong Kong wanatoka wapi
 
Natabir ugomvi mkubwa sana ndan ya huu uz

Ngoja nikae pemben maana kuna watu wamechafukwa kinoma kuwasifia hao wazee wa kujitoa mhanga na kwenda kusali wakiwa hawajavaa chupi
Wewe ni shidaa kauli zako!
 
Back
Top Bottom