Habari,Asante kwa kuwasiliana nasi
Makato yote uliyotaja yapo kwa mjibu wa taaribu na Sheria,Mfano VAT kila mtu anatakiwa kulipia Kodi kwenye manunuzi au huduma unayopata ndiyo maana utakuta kwenye manunuzi ya umeme pia ipo.
Aidha, uwepo wa bwawa la Julius Nyerere limeongeza upatikanaji wa huduma ya umeme nchini ambayo ni muhimu kwenye uwekezaji na ujasiliamali wa aina zote. Hata hivyo kuhusu bei kushuka mamlaka husika (Ewura) wanawajibika kuangalia gharama za umeme na kupendekeza kupunguza au kuongeza kulingana na uhalisia.^CM