kwenye semina

kwenye semina

snochet

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
1,467
Reaction score
1,238
SEMINA UBUNGO PLAZA,watu wakaanza kujitambulisha,Mtu wa1: mimi naitwa John niko UDOM Mwaka wa 2, nasoma LAW.Mtu wa 2: mimi naitwa Stella niko UDSM mwaka wa 3 nasoma PUBLIC RELATION.Mtu wa3: kwa kusuasua sana huku akijishtukia, mimi naitwa Paulo niko TANESCO mwaka wa 4 nasoma MITA.
 
Funika bovu leo nitalala na teh teh te te te te.............
 
Back
Top Bottom