nyahinga
Member
- Dec 18, 2016
- 45
- 23
Naomba kufahamishwa juu ya ajira zilizotolewa na wizara ya afya hivi karibuni,
Kuna fani imeachwa, yaani hata mmoja hajaajiriwa hasa fani ya NUTRITIONIST.
Kuna sababu zozote wizara kuacha kuajiri wakati iliwaomba wahusika kutuma maombi ya nafasi hizo??
Kuna fani imeachwa, yaani hata mmoja hajaajiriwa hasa fani ya NUTRITIONIST.
Kuna sababu zozote wizara kuacha kuajiri wakati iliwaomba wahusika kutuma maombi ya nafasi hizo??