Kwenye Jamhuri mengine hayawezekani, Tundu Lissu anafahamu pia

TUNDU LISU nimwanasheria WA KWENYE VYETI, tena aliniacha hoi kipindi cha kuhojiwa na VOA kuhusu Slaa kiukweli nimemuweka ktk kundi la VILAZA walopokaji kufuata mkumbo wa DJ Mbowe hana lolote

Mkuu ukitoa Dr Slaa alikuwa mtu ninayemuamini sana kama mtu mkweli,mzalendo na asiyeyumbishwa ..lakini nilianza kushtuka alipoanza kuzungumzia nafasi yake kwenye issue ya list of shame ...ile timing baada ya ukimya wa Dr Slaa tena kutoka kwake ilinibadili kabisa mtazamo wangu ktk siasa za upinzani na CCM ....yaliyoendelea pale na ushiriki wake imenibadili kabisa namna ya kufikiri kuhusu hawa wanasiasa wetu ....
 
TUNDU LISU nimwanasheria WA KWENYE VYETI, tena aliniacha hoi kipindi cha kuhojiwa na VOA kuhusu Slaa kiukweli nimemuweka ktk kundi la VILAZA walopokaji kufuata mkumbo wa DJ Mbowe hana lolote

Umemweka kundi la vilaza! Hv una hata eight ya uwezo wake?
 
Yake safari tuu ya baridiii anatuliaa wampe hizo tatu asubuhi lisu hatafanya chochote
 
Ndugu zangu..watu walipotaka serikali tatu kwenye rasimu ya katiba ya Warioba wabunge wa CCM wa Bunge lililokua la katiba walipiga sana na kuikanyaga

Umesahau kbisa kuwa miongoni mwa walioping serikli tatu ni pmoja na lowassa na wenzake waliokuja chadem na kutengeneza ccm b
 
Tatizo la watanzania sasa hivi kuna vitu viwili wameviweka pembeni, navyo ni LOGIC AND REASONING. Inaniwia vigumu kuwaelewa watu ambao kwa makusudi wanaamua kujitoa ufahamu, hivi ukipika kitimoto ukachanganya na kuku chungu kimoja unaweza ukamkaribisha ndugu yako muislamu aje ale nyama ya kuku wewe akuachie kitimoto na iwe halali kwake? bila shaka muislamu wa kweli hatakubali na wewe unalijua hilo.

Sasa wapiga kura ni walewale, mchakato ni uleule alafu matokeo fulani yanakuwa halali na mengine haramu! Give me a break!!! , This must be Tanzanian way of reasoning!

Kongole kwako mkuu. Yani nimesoma haya maneno yako mpaka hii juisi ninayokunywa hapa ikaongezeka utamu ghafla. Yani ni ukweli mtupu!
 
Wabunge wa baraza la wawakilishi wanatakiwa kuwepo hata kama ni wawili ndio bunge la muungano linakamilika. Kwa lugha nyingine SMZ haina wawakilishi bungeni mpaka sasa.
 
Kwa mtindo wa kibabe litafanyika,,lakini kwa akili ya kawaida rais wa muungano anakuwaje halali wakati matokeo ya upande mmoja yamefutwa? Istoshe upande mmoja wa jamhuri haupo kwa mantiki hiyo bunge halijakamilika,,ingekuwa busara asubiri bunge likamilike kwani kuna uharaka gain

Sasa hao akina Lissu wamefuata nini bungeni kama hakuna rais? aache kubabaisha watu. Na hili ni funzo kwa wapiga kura kuacha kuchagua wapinzani wasio na akili na wasio na mpango wa kuwaletea maendeleo.
 
Hiyo id yako ibadilishe jiite "kupe" ili ujitambulishe kuwa una akili fupi kama za kupe.

Mi naomba ufafanuzi tu mkuu, ikiwa wawakilishi wa5 wa baraza la wawakilishi la zanzibar ambao hawapo katika bunge la JMT kutokana na uchaguzi wao kufutwa na kusogeza mbele, Je hawa wanafanya bunge lisikalike?.ikiwa sababu wao hawapo kutokana na bado wao hawajafanya uchaguzi basi si halali kwa kutokuwepo mbunge wa Arusha bungen kufanya bunge lisionekane halali? Je wabunge wa JMT kwa upande wa Zanzibar ambao uchaguzi wao ulifanyika sambamba na bara wa wakashinda na wakaapa leo nao wameamia bara?
 
Tatizo la watanzania sasa hivi kuna vitu viwili wameviweka pembeni, navyo ni LOGIC AND REASONING. Inaniwia vigumu kuwaelewa watu ambao kwa makusudi wanaamua kujitoa ufahamu, hivi ukipika kitimoto ukachanganya na kuku chungu kimoja unaweza ukamkaribisha ndugu yako muislamu aje ale nyama ya kuku wewe akuachie kitimoto na iwe halali kwake? bila shaka muislamu wa kweli hatakubali na wewe unalijua hilo.

Sasa wapiga kura ni walewale, mchakato ni uleule alafu matokeo fulani yanakuwa halali na mengine haramu! Give me a break!!! , This must be Tanzanian way of reasoning![/QUOTE
maggid ni moja ya burulazi anaacha kwenda kwao mbarali nyerengete huko hata kuona watu wanavyo onewa maji shida wanachangia na wanyama lakini amekuwa mtu wa propanganda tu kazi kweli kweli watu kama hawa ni kuwapuuza tu.
 
Mkuu naomba ufafanuzi wako hivi ata pale arusha tusubiri mbunge wa Arusha apatikane ndio bunge liitwe limekamilika????
kwani uchaguzi wa huku bara au Arusha ulifutwa. Kwa kweli kama huelewi tofauti ni afadhali uulize.
 
Tatizo la watanzania sasa hivi kuna vitu viwili wameviweka pembeni, navyo ni LOGIC AND REASONING. Inaniwia vigumu kuwaelewa watu ambao kwa makusudi wanaamua kujitoa ufahamu, hivi ukipika kitimoto ukachanganya na kuku chungu kimoja unaweza ukamkaribisha ndugu yako muislamu aje ale nyama ya kuku wewe akuachie kitimoto na iwe halali kwake? bila shaka muislamu wa kweli hatakubali na wewe unalijua hilo.

Sasa wapiga kura ni walewale, mchakato ni uleule alafu matokeo fulani yanakuwa halali na mengine haramu! Give me a break!!! , This must be Tanzanian way of reasoning!

Inawezekana unamaanisha kuwa Haiwezekani Ubunge Ukawa Safi halafu Urais watu hao hao wakakataa sio safi wakati imefanyika Ktk chungu Kimoja...
Hii Pia ni Tafsiri ya ulichokieleza hata Kama ukiweka Tafsiri nyingine...
 
kwani uchaguzi wa huku bara au Arusha ulifutwa. Kwa kweli kama huelewi tofauti ni afadhali uulize.

Mkuu apo kimaana hakuna tofauti ila lugha tu hiyo ndio inafanya uone tofauti ila kimsingi kote hakuna wabunge/wawakilishi au we ubaonaje kwani? hoja yake hawapo bungeni
 
TUNDU LISU nimwanasheria WA KWENYE VYETI, tena aliniacha hoi kipindi cha kuhojiwa na VOA kuhusu Slaa kiukweli nimemuweka ktk kundi la VILAZA walopokaji kufuata mkumbo wa DJ Mbowe hana lolote

Nihc ww ndiyo kilaza na pompopo namba1 duniani, kama unashndwa kuelewa ukweli wa Lissu bac ww ni fukara wa akili
 
Mi naomba ufafanuzi tu mkuu, ikiwa wawakilishi wa5 wa baraza la wawakilishi la zanzibar ambao hawapo katika bunge la JMT kutokana na uchaguzi wao kufutwa na kusogeza mbele, Je hawa wanafanya bunge lisikalike?.ikiwa sababu wao hawapo kutokana na bado wao hawajafanya uchaguzi basi si halali kwa kutokuwepo mbunge wa Arusha bungen kufanya bunge lisionekane halali? Je wabunge wa JMT kwa upande wa Zanzibar ambao uchaguzi wao ulifanyika sambamba na bara wa wakashinda na wakaapa leo nao wameamia bara?
Soma kwa makini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, Ibara ya 66(a-e) hasa kifungu e; utajifunza kituo na kupunguza maswali. Soma pia ibara ya kwanza na ya pili ili ujue kuwa Arusha si nchi inayofanya sehemu ya jmt. Kanunue katiba!
 
Mkuu naomba ufafanuzi wako hivi ata pale arusha tusubiri mbunge wa Arusha apatikane ndio bunge liitwe limekamilika????
ata = hata. Bwana nyumbu unajua tofauti kati ya Arusha na Zanzibar! Unajua jina la Jamhuri ya Muungano ya Tanzania lina maana gani? Mara nyingine tumia kichwa na usifuate mkondo wa malisho kwani utaliwa na mamba
 
Kingine wanachojisahaulisha ni kuwa hili bunge wanaloliapa limeitishwa na Rais kwa majibu wa katiba ya nchi.

Sasa ajabu wanaapa kwenye bunge lililoitishwa na Rais wasiemtambua, Wanasema matokeo ya Urais ni batili huku ya kwao yaliyopatikana kwenye uchaguzi huohuo ni halali.

Kweli wanasiasa wetu ni wachumia tumbo tu!

Mnaitwa nyumbu kwa sababu ya kukariri ujinga! Kwani matokeo ya urais hayawezi kuchakachuliwa na hata baadhi ya majimbo ya ubunge yakachakachuliwa na mengine wakashindwa kuchakachua? Kwanini kuna rufaa za ubunge zinabatilishwa na mahakama na nyingine hazibatilishwi? Acha unyumbu wa kufuata mkondo!
 
Tatizo la watanzania sasa hivi kuna vitu viwili wameviweka pembeni, navyo ni LOGIC AND REASONING. Inaniwia vigumu kuwaelewa watu ambao kwa makusudi wanaamua kujitoa ufahamu, hivi ukipika kitimoto ukachanganya na kuku chungu kimoja unaweza ukamkaribisha ndugu yako muislamu aje ale nyama ya kuku wewe akuachie kitimoto na iwe halali kwake? bila shaka muislamu wa kweli hatakubali na wewe unalijua hilo.

Sasa wapiga kura ni walewale, mchakato ni uleule alafu matokeo fulani yanakuwa halali na mengine haramu! Give me a break!!! , This must be Tanzanian way of reasoning!

Naomba nitafute nikununulie ka Cocacola bariiidi.
 
Back
Top Bottom