kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,342
- 6,495
Nachokiona JPM anakosa watu wakumwambia ukweli kuhusu matendo na matamko yake, waliokaribu wanamwogopa na kumpa ushauri mbaya( mfano Uchaguzi wa serikali za mitaa). Ambao wako mbali na hawawezi kumfikia ( niwaite wapinzani, wengi tumewapa jina hilo hata kama sio wanasiasa) ambao wanaweza kumweleza ukweli wenye furaha na mchungu, ni wanasiasa wapinzani na baadhi ya viongozi wa Dini. Mbowe kajisogeza nafikiri kupata nafasi ya kumpa ukweli wa ukweli kuhusu utawala wake na hali halisi ya watanzania. Wameona JPM haguswi na wala habadiliki kwa kuambiwa ukweli kwenye media( kama zipo). Akifanikiwa CHADEMA Kitasimama imara.