domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
Kweli umeandika gazeti, sasa ni ipi relation kati ya hiki ulichokiandika hapa kuhusu yanayotokea ndani ya CDM na kilichotokea leo?!
Halafu habari ya Zitto na wengineo sijui imekuja vipi hapa!, kama unamuona ana vision, vipi hiyo ACT yake inaendeleaje?!
Siasa zetu zinalazimisha uanaharakati, huwezi kulazimisha hoja kwenye mazingira ambayo polisi wanatumika kukibeba chama tawala. Utaenda vipi kulinda kura kwa hoja ulizoandika kwenye daftari? Hao wazee uliowataja Lowassa na Sumaye hawakujua ugumu wa kuwa mpinzani tz, mpk walivyoingia ndani ndio wakajionea, Tumemsikia Sumaye analalamika kanyan'ganywa mashamba, hayo ndio malipo ya kuwa mpinzani tz. Mbowe kaharibiwa mali zake zote, ndio malipo yakuwa mpinzani tz.
Hili suala la sumu haijaribiwi kwa kuionja linakuzwa na wajinga tu, hivi hufahamu kama huo ni msemo tu, ni sawa na angesema kina cha maji hakijaribiwi kwa kuingiza mguu, wacheni kupotosha watu, kamuua Chacha Wangwe kama una shahidi si upeleke polisi?, kupotea kwa Saanane kama unaushahidi peleka polisi, sio kuropoka tu.
Unazungumzia CDM kutaka kuiuza nchi, nchi gani hiyo?, na ninani waliotaka kuuziwa hebu wataje hapa tuwajue, sema na bei waliyokubaliana, kichwa chako kimejaa pumba nyingi sana!
Hahahaha! Una haki ya uchambuzi wako, nina haki na uchambuzi wangu. Kama nilivyokwisha sema, ni kawaida sana kwa watetea haki na demokrasia katika nchi hii kukosa uvumilivu, weledi na kushindwa kuishi wayahubiriyo inapifika ZANU yao ya kufanya hivyo, watanzania sio wajinga. Kama unaiamini na kuikubali kauli ya kuambiwa kanyang'anywa mashamba, kwa mini unakataa kauli take ya kutishiwa maisha na kuambiwa sumu haionjwi kwa kwa kulambwa?
Punguza jazba, relax tufanye majadiliano. Chairman wetu kaanzisha mwendo, tuvumiliane hats ndani ya chama kusikilizana tofauti zetu. Mpasuko haiku anza Leo, ulianza muda mrefu,btoka enzi zile Zitto alipoleta hoja ya wabunge wasilipwe posho.
Uanaharakati ulifanya Rais asitambuliwe na chama, tukatoka bungeni katika hotuba yake, leo tunaenda kumuomba maridhiano. Mi nafikiri tungemuomba radhi kwanza, tukamtambua rasmi kisha tuseme yanayotusibu. Siasa za harakati hazina faida, zinamdhalikisha anayezifanya na kumpunguzia thamani kama ilivyo sasa. Huku ni siasa inafanyika siasa, hayo ya polisi na mahakama si siasa, kama hujui siasa rudi kwa mamaako kajifunze siasa.