Kwenye familia zetu wenye hela ndo wanaopewa lawama na ndugu

Kwenye familia zetu wenye hela ndo wanaopewa lawama na ndugu

Wakati inasoma Chuo waliwahi kukutumia hela? Kama waliwahi kukutumia hela wanna haki ya kulalamika kwa sababu ulikuwa unawapiga mizinga.
 
Familia ya mzee, hakuna connection hizo za kupigiana simu, ni yeye na ndg zake wanajua wanavyowasiliana

Nimpgie simu kampgia simu babangu huyo mwanae au ni uchokozii tuu wa ndugu
 
Back
Top Bottom