DOKEZO Kwenu uongozi wa Temeke hospital

DOKEZO Kwenu uongozi wa Temeke hospital

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

David Harvey

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
3,120
Reaction score
6,785
Juzi nimempoteza ndugu yangu tena kizembe kabisa ni kwa vile sikuwepo,Competent doctors wote mmeondoka hospital imeshikiliwa na intern doctors! Hospital ya rufaa inashikiliwa na interns mko serious kweli???

Kuna mtu niliwahi kumsikia kuwa temeke hospital ni kijiwe cha interns kweli nimeamini.

Mnachezea sana afya na uhai wa watanzania,nimesoma aberdeen university school of medicine scotland, yaani medical student au interns hauna mamlaka yoyote kumshika mgonjwa pasipo msimamizi wako lakini uku tanzania medical student ndio kila kitu ,canulation inamshinda halafu yupo emergency dep peke yao..


Imeniuma sana kumpoteza dogo.mimi sio muandishi mzuri ila temeke ujinga mwingi sana nimefika nawauliza maswali madogo sana kujibu hawawezi wanabaki kubabaika halafu wameachiwa kitengo cha dharula.
 
Natamani kusema kitu ila Mimi ni mdau wa afya mwandamizii senior.
Napajua hapo na connection napo..Kuna competent doctor wengi TU.
Huwa sipendii kuongea ongea sanaa..ila kwenye hizi government hospital nyingi ukiwa na mkono mfupi au hauna ABC's za afya KUWEZA KUMSIMAMIA MGONJWA WAKOOOO NI MAJALIWA KUTOBOA
 
Pole sana mkuu,nenda hospital za Private huko serikalini achana napo,
Mimi nilipoteza ndugu yangu pale Mloganzila kizembe sana sina hamu napo..
.
 
Ukiwa na mgonjwa wako yupo kwenye hali mbaya, usifikirie kumpeleka temeke. Temeke hospital inapoteza wagonjwa wengi sana kizembe.

pole kwa kumpoteza dogo.
 
Arf unakuja kusikia mwanasiasa aliyeshiba Kodi zetu
Anakwambia et serikali inafanya vizuri katka kusimamia uwajibikaji wa watumishi wake
 
Natamani kusema kitu ila Mimi ni mdau wa afya mwandamizii senior.
Napajua hapo na connection napo..Kuna competent doctor wengi TU.
Huwa sipendii kuongea ongea sanaa..ila kwenye hizi government hospital nyingi ukiwa na mkono mfupi au hauna ABC's za afya
Meza kaka, inauma ila patapambuza chief bado muda kidogo
 
Juzi nimempoteza ndugu yangu tena kizembe kabisa ni kwa vile sikuwepo,Competent doctors wote mmeondoka hospital imeshikiliwa na intern doctors! Hospital ya rufaa inashikiliwa na interns mko serious kweli???

Kuna mtu niliwahi kumsikia kuwa temeke hospital ni kijiwe cha interns kweli nimeamini.

Mnachezea sana afya na uhai wa watanzania,nimesoma aberdeen university school of medicine scotland, yaani medical student au interns hauna mamlaka yoyote kumshika mgonjwa pasipo msimamizi wako lakini uku tanzania medical student ndio kila kitu ,canulation inamshinda halafu yupo emergency dep peke yao..


Imeniuma sana kumpoteza dogo.mimi sio muandishi mzuri ila temeke ujinga mwingi sana nimefika nawauliza maswali madogo sana kujibu hawawezi wanabaki kubabaika halafu wameachiwa kitengo cha dharula.
Hiyo hospital ilitangazwa kuwa Itakua chini ya uchunguzi, inawezekana huo uchunguzi nao unafanyiwa uchunguzi.
 
Back
Top Bottom