Hiki ni kipande cha barabara 90km kati ya Rusahunga na Rusumo. Kumekuwa na nyuzi nyingi miaka nenda rudi. Bado hali ni mbaya na yaonekana yote wamekuwa yanaangukia kwenye masikio viziwi.
Katika picha ni sampuli tu ya visa katika barabara hii kuu.
Pana sehemu inaitwa Nyabugombe (Biharamulo) yakiwapo manyunyu tu kwa mashimo na utelezi uliopo hapo basi barabara ndiyo inakuwa hakuna tena.
Jana pia magari kibao yamelala hapo kwa kimvua cha rashasha tu kilichopita.
Hii ni barabara kuu. Hali kama hii ni aibu kubwa. Mpaka wafe wangapi? Sehemu yenu ya uwajibikaji nyie kama serikali iko wapi? Mbona kodi zote mnachukua tena kwa deadlines zenu na kama mtakavyo nyie? Hivi ile tume ya FCC kuhusu usawa na uwajibikaji katika mikataba nanyi inawahusu? Au ile ni mkuki tu kwa nguruwe?
Mpaka wafe wangapi ndipo mgutuke tokea usingizini mnamoonekana kuwamo?
Katika picha ni sampuli tu ya visa katika barabara hii kuu.
Pana sehemu inaitwa Nyabugombe (Biharamulo) yakiwapo manyunyu tu kwa mashimo na utelezi uliopo hapo basi barabara ndiyo inakuwa hakuna tena.
Jana pia magari kibao yamelala hapo kwa kimvua cha rashasha tu kilichopita.
Hii ni barabara kuu. Hali kama hii ni aibu kubwa. Mpaka wafe wangapi? Sehemu yenu ya uwajibikaji nyie kama serikali iko wapi? Mbona kodi zote mnachukua tena kwa deadlines zenu na kama mtakavyo nyie? Hivi ile tume ya FCC kuhusu usawa na uwajibikaji katika mikataba nanyi inawahusu? Au ile ni mkuki tu kwa nguruwe?
Mpaka wafe wangapi ndipo mgutuke tokea usingizini mnamoonekana kuwamo?