Kwetu alikuja akaahidi daraja la kisasa tuweze kuvuka mto kirahisi . Tukamwambia hatuna mto. Akaahidi kutuletea na mto pia.
....kufufua viwanda vilivyokufa miaka zaidi ya 20 iliyopita.....hajasema how; atatafuta wawekezaji au CCM au ikulu au vipi? ipo haja ya wasaidizi wake wamshauri apunguze hizo consumer-based pledges maana zinamdhalilisha badala ya kumpa credit!!!