REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Kwa utunzaji wa kumbukumbu ni utaratibu mzuri,lakini kinachosikitisha ni kuamua kuanza ghafla bila
taarifa,utaratibu huu umesumbua sana watu jana waliotaka kusafiri ZNZ,ghafla unafika kukata tiketi
unaambiwa bila kitambulisho hakuna tiketi,kwa nini wasingetangazia watu mapema ili waende na vitambulisho?
au ndo kama kawaida ya Tanzania kila kitu kinafanywa kama zoezi la zima moto!!!!!
taarifa,utaratibu huu umesumbua sana watu jana waliotaka kusafiri ZNZ,ghafla unafika kukata tiketi
unaambiwa bila kitambulisho hakuna tiketi,kwa nini wasingetangazia watu mapema ili waende na vitambulisho?
au ndo kama kawaida ya Tanzania kila kitu kinafanywa kama zoezi la zima moto!!!!!