Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Sasa hawa wanaofunga mipaka inakuwaje ? Au ndio na wao wanataka na wameanza kuuvunja Muungano ,unapodai pasi ,bila ya shaka utakuwa unakwenda nchi nyingine ,je mmepaona hapo ,mbona kule Mwanza unaposafiri kwenda Nansio Ukerewe hutakiwi kuwa na makaburasha yote hayo ? WaBara mnafunga mipaka kinyemela ! hili jambo liwepo kwenye wasafiri wa treni au garimoshi na hata wale wa mabasi maana wengine huvurugika mpaka nyuso.