Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,227
- 1,104
Msiogopane,kunyeni kwa raha zenu.
Ndoa imara zinajengwa na wanandoa wenye akili timamu...sasa hapa kuna haja ya kuuliza kama zinakutosha???????? What the hell is this.
hahahahahahaaa.... Au anaenda kukata gogo!!!!! Maswali mengine bana!!!!
Lady doctor mi ndo napenda hii ya kukata gogo, tehe tehe, chezeiya gogo wewe
ntamwambia naenda kutoa kubwa
Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kwa timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akienda!) ni kawaida au kuna tatizo apo!
hahahaaa au unaenda ku 'PUU'
hahahaaa....! Nimekumbuka ninamdogo wangu ye husemaga dada mie naenda kushusha wazungu LOL!
hahahaaa....! Nimekumbuka ninamdogo wangu ye husemaga dada mie naenda kushusha wazungu LOL!
hahahaaa au unaenda ku 'PUU'
tehe tehe, mi ntakua nashusha wachina.