Kwenda technical college like DIT na A-Level wapi ni bora zaidi?

Kwenda technical college like DIT na A-Level wapi ni bora zaidi?

senetor,
bila shaka unasoma udsm,wewe ni limbukeni sana(sina nia ya kukukwaza/kukukera bt im tellin u da truth),acha dharau kaka,hata udom ni chuo(sihusiani na udom kwa namna yeyote ile),nimefuatilia post zako nyingi,unaonekana mtu wa kupenda kujisifu/kusifiwa hasa kwa chuo unachosomea,udsm!
Badilika ndugu,maisha yana vipengele vingi sana!
Samahani kama umekereka mkuu!

nashukuru kaka mana huyu mshkaji kuwa udsm anaona he is the best sasa kama toka kianze wangekuwa wanajisifia ingekuwa vp mi namuona anajidhalilisha..thanx mkuu
 
Nenda DIT mjomba cuz me dadaangu wa damu walimshauri baada ya kuua 4 aende chuo yy akaenda advanc..mwish wa cku akapata full ZERO nw yuko certs pale CBE..ana regret
 
Nenda DIT mjomba cuz me dadaangu wa damu walimshauri baada ya kuua 4 aende chuo yy akaenda advanc..mwish wa cku akapata full ZERO nw yuko certs pale CBE..ana regret

kwa hyo ina maana DIT n kwa vilaza, yaan hata mtu wa zero angefaulu. Ktk elimu Jitihada ndo suala la msingi hata km unaxomea ufund bomba.
 
NiBORA UENDE ADVANCE NA UKAZEMSULI ILI UWEZEKUTOKA(KUFAULU) . Dit ya sasa si kama ile ya zamani manake wale wanaopata div zero form 6 ote ndio wanaokimbilia dit sasa hv...
 
Nasasa hivi kama hujafika frm 6 bodi ya mikopo ya elimu ya juu haikupi mkopo kama walivyo anza mwaka huu, kazi buti uende A-level
 
Nasasa hivi kama hujafika frm 6 bodi ya mikopo ya elimu ya juu haikupi mkopo kama walivyo anza mwaka huu, kazi buti uende A-level

bodi ya mkopo now wanachakachua so kubali kosoma na sio kutegemea mkopo
 
NiBORA UENDE ADVANCE NA UKAZEMSULI ILI UWEZEKUTOKA(KUFAULU) . Dit ya sasa si kama ile ya zamani manake wale wanaopata div zero form 6 ote ndio wanaokimbilia dit sasa hv...
Ndio imekuwa hivi tena siku hizi...sio zile enzi za kama huna Division one au two kutoka zile technical secondary zetu za Moshi tech, Ifunda, Mtwara, na baadae Mazengo mtu alikuwa hatii mguu pale!.
 
Du Mzee ulisoma DIT zile enzi za kufunga motor nini...he he he, top layer ya Mzee Zoro ilikuwa kiboko!.

Hapa Mzee Zoro alikuwa ameshatutoka! Ni enzi hizi za Mzee Andimu. Mkuu samahani... Nyie ndo mlichoma ule mchele Kitumbo pale ukawaka wiki mbili nzima?
 
Mbona kuna wa2 kibao wana pts 16 wanasoma hyo program pale udom..uoga wenu unawaponza watanzania,ebu nenda A-level bwana mdogo.

Hivi unajua kwamba tofauti na kazi ya Mungu kuumba,vitu vyote unavyoviona na kuvitumia leo hii vimetengenezwa na mainjinia?

Halafu tambua kwamba kitu intelligence is not the only factor that determine someone's success,there are some other factors like environment,personal qualities, skills,degree of motivation and many other non-intellectual factors-tafuta kitabu kinaitwa knowing your own IQ utajifunza mengi

Kuna watu waliofaulu kwa pointi saba O-level wakapata zero A-level,na wenye pointi 16 A-level wakapata first class vyuoni!!Kinyume chake pia inawezekana
 
Hivi unajua kwamba tofauti na kazi ya Mungu kuumba,vitu vyote unavyoviona na kuvitumia leo hii vimetengenezwa na mainjinia?

Halafu tambua kwamba kitu intelligence is not the only factor that determine someone's success,there are some other factors like environment,personal qualities, skills,degree of motivation and many other non-intellectual factors-tafuta kitabu kinaitwa knowing your own IQ utajifunza mengi

Kuna watu waliofaulu kwa pointi saba O-level wakapata zero A-level,na wenye pointi 16 A-level wakapata first class vyuoni!!Kinyume chake pia inawezekana

your real a great thinker, we need more people like you in this forum....jamani tupende kujifunza kutoa vitu kama kaka hapa usitoe mawazo kivivu andika hoja yenye mantiki.
 
Hapa Mzee Zoro alikuwa ameshatutoka! Ni enzi hizi za Mzee Andimu. Mkuu samahani... Nyie ndo mlichoma ule mchele Kitumbo pale ukawaka wiki mbili nzima?

Si mchezo mkuu unanikumbusha mbali, hapo ndipo nilipojua faida za migomo, Nakumbuka nilitembea kwa mguu kutoka DIT Mpaka TILDO zilipokuwa ofisi za wizara elimu ya juu, kesho yake tukatimuliwa.......... kweli Kondolo ni noumer
 
KWA MOYO WOTE NENDA DIT,KAMA WALIVYOSEMA WADAU MAISHA MAZURI HAHAHA BILA KUSAHAU UTAISHI MJINI NA WAHINDI,
Niache utani kama wataka ENGINEERING nenda DIT kaka na wala asikutishe mtu chuo kinasomeka vizuri tu na utanambia lazima utabaki kusoma degree yako hapo hapo.
 
Dogo amedanganywa kuwa computer eng bila point 5 kwenda chin hupati nafasi pale coict udsm,dogo hiyo ilikuwa enzi hizo sasa hivi hata div 2 unaomba na unapata,Kingine siku hizi bachelor pekee hupati kazi ofisi za maana mpaka uwe na certification kadhaa,sasa wewe kariri maisha uje ule bench mtaani na degree lako la whatever course,kingine siku hizi kazi michongo tu hizi njia za kawaida ni very narrow kupata kazi.Je wewe una referee?
 
Aache kabisa mie wakati nipo Olevel pale iyunga nilipenda sana maisha ya watu wa Mbeya tech so nkaopt kwenda kwenda tech nkapata palepale mbeya ndugu zang walisoma hawakupenda mie kwenda pale wakat naeza enda alevel wakanibeba nikaenda advance then chuo kurud kazin mie boss waskaji wang wao wanagonga spaner 2 nafasi ni ndogo kujiendeleza ukipitia huko.

Mkuu nilipita hapo na nilipenda sana kwenda MTC (siku hizi nasikia ni MIST)Nilibadili mawazo dakika za mwisho baada ya kushauriwa na kwenda A-level.Thanks God nikafanikiwa kufika mlimani.Kwa siku hizi naona ni afadhali mtu aende technical college achukue diploma then kama akifaulu anakuwa na machaguo yote mawili kwenda COET kwa Bsc. au kuendelea na Bachelor of engineering MIST au DIT.Kama kwa bahati mbaya akishindwa kufaulu sana anaweza kusilikilizia mtaani akaendelea kupiga kazi na FTC yake baadaye mambo yakiwa mazuri anaweza hata kujisomesha hiyo degree.Ukienda A-level ukichemsha ndo kwishney unaanza kufikiria kufanya profession hata ulizokuwa hauzipendi.
 
Mkuu nilipita hapo na nilipenda sana kwenda MTC (siku hizi nasikia ni MIST)Nilibadili mawazo dakika za mwisho baada ya kushauriwa na kwenda A-level.Thanks God nikafanikiwa kufika mlimani.Kwa siku hizi naona ni afadhali mtu aende technical college achukue diploma then kama akifaulu anakuwa na machaguo yote mawili kwenda COET kwa Bsc. au kuendelea na Bachelor of engineering MIST au DIT.Kama kwa bahati mbaya akishindwa kufaulu sana anaweza kusilikilizia mtaani akaendelea kupiga kazi na FTC yake baadaye mambo yakiwa mazuri anaweza hata kujisomesha hiyo degree.Ukienda A-level ukichemsha ndo kwishney unaanza kufikiria kufanya profession hata ulizokuwa hauzipendi.

Elimu za thiory mbaya jamani.unataka kusema mtu wa udsm wa mechanical eng. Na wa diplma wa mist yupi anauwezo kuliko wenzake?
Mbona huku mgodini wanafunzi wa chuo cha madini wanapewa 1st chance kuliko wanafunzi wa vyuo vingine tanzania?
 
Comp Engeer ni talent,kama ipo upitie Dip,uende A level utafanikiwa tu cha msingi ni kukaza buti.Nina ndugu yangu yeye ni std seven lakini huwezi amini kaajiriwa na kampuni kubwa sana na anafanya kazi ambazo mainjinia wa komp wanashangaa imewezekanaje bila shule kuwa Fundi kiasi hicho.
 
Comp Engeer ni talent,kama ipo upitie Dip,uende A level utafanikiwa tu cha msingi ni kukaza buti.Nina ndugu yangu yeye ni std seven lakini huwezi amini kaajiriwa na kampuni kubwa sana na anafanya kazi ambazo mainjinia wa komp wanashangaa imewezekanaje bila shule kuwa Fundi kiasi hicho.

hiyo kampuni au kijibanda tu kipo mtaani? Swala la kusema eng ni kipaji tena especially wa comp ni kweli,ila ofisi yeyote ina vigezo vya kazi huwezi kumkabidhi utendaji dogo wa std 7 majukumu ya kitaaluma hata kama ana uwezo.
 
itategemea,mara nyingi kupitia tecnical college unatumia miaka mingi KUP[ATA DEGREE na ukiajiliwa mwajili kukuruhusu kwenda degree inakua vigumu au kuwe na stafu wengi kazn kwako ila unakua kompitent hasa inshu za field,pia unakua maRKETABLE SANA NDO MANA WENGI KUUNGA MOJA KWA MOJA BILA KUAJILIWA NI WA CHACHE SANA
 
Back
Top Bottom