Kweli Watanzania wameichoka CCM

Kweli Watanzania wameichoka CCM

Nimetumiwa hii picha nikacheka sana

Mkuu Elli wewe umecheka mimi baada ya kuona post yako hii nimechukua hatua zaidi. Nimewatumia tatu zaidi ya mia picha hiyo tena wale ambao naamini ukombozi wa fikra bado haujawaingia vizuri kichwani.
 
Last edited by a moderator:
walimpa jibu gani mdau? maana ameuliza swali zuri sanaaaa
 
​
Jana ilitokea nikawa naangalia kipindi cha TV (TBC1), nadhani kinaitwa Tuambie or Niambie sikumbuki sawa sawa. Kipindi kilikuwa kinahusu sheria hii mpya ya uhalifu wa mitandaoni na studio kulikuwa na wageni watatu (Mwanasheria kutoka Wizara ya Mawasiliano, Mratibu wa mambo ya mtandao kutoka polisi na mgeni mwingine mmoja).

Akatokea mwananchi mmoja akapiga simu akauliza hatua ambazo anatakiwa kuzifuata ikiwa atapata ujumbe wa kuudhi au matusi kwenye simu yake. Akasema kwa mfano wakati wa campaign za uchaguzi wa mwaka huu ikitokea akapata ujumbe wa kuudhi kwamba "Chagua CCM" achukue hatua gani kushughulika na ujumbe huu wa maudhi kwake ?!

Yaani imefikia hata ujumbe wa campaign wa CCM wengine wanachukulia kwamba ni ujumbe wa kuudhi (kama matusi vile)!.

Kweli watu wana hasira na CCM !


Point sanaa iyo...
Nimekumbuka Mh Lema katika hotuba zake aliwai kusema ikitokea leo Mungu aka update amri zake kumi itamlazimu aongeze ya kumi na moja na yo itakuwa USIICHAGUE CCM
 
Mnunulie mwanao mdogo kitu anachokipenda sana kama vile baiskel au mdoli mwambie zawadi yako mwanangu. kesho yake umuibie ukafiche mbali naye, alafu akianza kutafuta mwambie ccm wamekuibia mwanangu ili akue akielewa kwamba ccm ni adui namba moja wa maisha yetu.WATUMIE WAZAZI WOTE PLZ.

Hahaaaa

Mkuu huyo mtoto ataichukia ccm maisha yake yoteee
 
Sisi wengine hatukuona hicho kipindi.Sasa walijibu nini.
Jana ilitokea nikawa naangalia kipindi cha TV (TBC1), nadhani kinaitwa Tuambie or Niambie sikumbuki sawa sawa. Kipindi kilikuwa kinahusu sheria hii mpya ya uhalifu wa mitandaoni na studio kulikuwa na wageni watatu (Mwanasheria kutoka Wizara ya Mawasiliano, Mratibu wa mambo ya mtandao kutoka polisi na mgeni mwingine mmoja).

Akatokea mwananchi mmoja akapiga simu akauliza hatua ambazo anatakiwa kuzifuata ikiwa atapata ujumbe wa kuudhi au matusi kwenye simu yake. Akasema kwa mfano wakati wa campaign za uchaguzi wa mwaka huu ikitokea akapata ujumbe wa kuudhi kwamba "Chagua CCM" achukue hatua gani kushughulika na ujumbe huu wa maudhi kwake ?!

Yaani imefikia hata ujumbe wa campaign wa CCM wengine wanachukulia kwamba ni ujumbe wa kuudhi (kama matusi vile)!.

Kweli watu wana hasira na CCM !
 
Wakishindwa ukawa watajipnga tena na nchi itaenda. Ila wakishindwa ccm sijui itakuwaje maana hawajazoea kushindwa
 
Back
Top Bottom