Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Kuna vijana juzi walipeana adhabu kama mmoja atashindwa kutimiza majukumu waliyowekeana, moja ya adhabu yao ni kuvaa Tshirt na kofia ya CCM kwa siku nzima ama fine ya 100,000/-.
Cha ajabu vijana wengi walikubali kulipa hiyo fine.
Duuu,ebwanae waacha hiyo ni hatareeeee