Kweli wasanii wa kibongo ni maziro kichwani

Kweli wasanii wa kibongo ni maziro kichwani

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,965
Reaction score
26,150
Huyu jamaa anaitwa Ibra,kaenda kenya,badala avae bendera ya nchi yake Tanzania,yeye kavaa bendera ya nchi ya kenya.
Hivi anajielewa kweli?

Screenshot_20250611_145722_Facebook.jpg
 
Ishu ndogo hio haileti ugali nyumbani haina madhara kwa mtu mmoja mmoja ama taifa kwa ujumla
 
Back
Top Bottom