Kwa haraka nafikiri huyo mama ni MAMA LISHE na huyo mkaka ni mteja kala alafu hana pesa ya kulipa (kwani anaonyesha katulia na kukubali matokeo) sasa shughuli ni kwa afande. Mama mkono wa kushoto kashika pochi yenye pesa za mauzo hapo!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.