Kuna mkaka mmoja mtaani kwetu alitokea sana kunizoea tukawa mabest wakubwa na mshauri ananishauri. Mimi nina mahusiano yangu na yy pia ana mke wake na pia sasa katika kuchat chat mara akaanza kunitongoza tena kwa speed ya 4g mm kwa vile najielewa na kujitambua nikamkatalia kata kata cuz cwez kutoka na mme wa mtu pia mm cwez isaliti familia yangu kwa ajili ya mtu ambae kwangu namchukulia kama kaka yangu wakuzaliwa.
Sasa baada mm kuonyesha msimamo wangu juzi kanipigia cm anaomba nimpe hela ana shida mm nikamwambia kiukwel kwa sasa mm sina ningekua nayo ningekupa .
sasa kuna siku nilisema ebu nimjulie best yangu hali cuz atujawasiliana mda mrefu daah hakupokea cm yangu ila alinitumia msg yakunitukana ananiambia ctk unizoee kwanza umenikataa pili nimekuomba hela umeninyima fata mambo yako achana na mm kwanza una bahati ulivyonikataa cjawai kukupenda kama nilivyokuambia ila nilitaka unikubalie niwe nakupiga vizinga vya hela tu
kiukweli ile msg ilinipa wakati mgumu sana wakuitafsiri nakuwaza kumbe baadhi ya wanaume cyo watu wazuri
Sent using
Jamii Forums mobile app