Kweli wanaume siyo watu wa mchezo mchezo

Kweli wanaume siyo watu wa mchezo mchezo

Alitaka akugeuze ATM. Lol.

Hivyo ungempa ingekula kwako. Achana naye mwaya mana urafiki sijui uchepukaji wa kufilisiana wa kazi gani bora kajiumbua mwenyewe.
Kumbe kufilisiana huwa mnajua kunaudhi eh?
 
hahahaaa ulipata kidume anaekuweza, bora hata jamaa alifanya hivo, hivi huyo mwanaume angekuvutia ungemwita "kaka" yako? nyie mademu mnaniboaga na swaga zenu za kuwaita kaka wale wanaume ambao hamuwapendi, mnafosi undugu au ndo kukomoa huko super model
 
Yaani dear. Sio kila anae kutongoza anakuhitaji %100 .wengi ni wanafiki

Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]

Ingawa mnamlaumu huyo mwanaume, just imagine huyo mwanaume angekuwa ni mpole na innocent, kibao cha kupigwa mizinga si kingemgeukia huyo mwanaume? plus na ile pain ya kuwa rejected na demu uliemtongoza hata wewe sidhani kama ungeweza kui-handle kirahisi Super women 2
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani nimemvutia picha cjui hata anafananaje[emoji13] [emoji13]
Vipi sasa mimi si kaka yako eti
 
Ingawa mnamlaumu huyo mwanaume, just imagine huyo mwanaume angekuwa ni mpole na innocent, kibao cha kupigwa mizinga si kingemgeukia huyo mwanaume? plus na ile pain ya kuwa rejected na demu uliemtongoza hata wewe sidhani kama ungeweza kui-handle kirahisi mumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom