Kweli usimdharau mtu.

Kweli usimdharau mtu.

Leo muda fulani nilichepuka niende kununua materials ya ujenzi pale Kamaka. Kwa wasiojua, Kamaka ni kampun ya Warusi wanauza vifaa vya ujenzi..Ni duka kubwa

Sasa wakati nimemaliza kila kitu wanapakia mzigo, tukawa tunapiga stori ya yule mtunza stoo pale, yupo mchafu mchafu hivi..Mimi hapo nimetoka kazini niko nadhifu vibaya mno sitaki hata vumbi linirukie..

Sasa badae wakati naondoka nikawa napiga stori na walionibebea mzigo kwenye gari wakawa wanasema hili gari(canter) ni la yule dogo pale. Nikauliza dogo gani wakasema yule storekeeper pale..

Daaah! nduo stori zikaanza hapo kuwa dogo ni darasa la saba tuu na mshahara wake ni milioni 2.8, ana hizo 3 za kubeba mizigo na mambo mengine kibao. Wakawa wanasema Mrusi haajiri wenye elimu kubwa kwenye vitengo hivyo, akasema wapo wengi tu humu darasa la saba

Akanambia unamwona mlinzi yule ana nyumba 3. Nikasema haiwezekan, akasema subiri akamwita akamwambia oya nyumba ya Kivule ushamaliza, akasema ipo kwenye madirisha. Basi poa nataka panga nyumbani kwako kabsa, ile nyumba ya ....,akamwambia,ya ngap sasa hiv hyo kiutan,akasema mungu ni mwema ya 3.

Nkasema ama kweli....

Uzi tayar

Sent using Jamii Forums mobile app
Usimalize mapema. Yote hii bado malizia story bhana...

{Hutajuta ukitembelea
& kusubscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa
 
Iko hivi..pesa inahitaji nidhamu,ndio maana ni rahisi kukuta "mafala" wamefanikiwa,kwanza hawana show off za kijinga na kula bata! Tukija upande wa pili ni kinyume chake!
Dah... Pesa inabagua aisee

{Hutajuta ukitembelea
& kusubscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa
 
Na kwanini umdharau mtu??? Me nashangaa sana sisi watu tulivyo wa ajabu,utamsikia mtu anasema usimdharau usiye mjua ina maana unayemjua ndio umdharau???maisha tunategemeana sana na hakuna wa muhimu zaidi kuliko mwenzie..USIMDHARAU yeyote chini ya jua hili,.full stop.

Komenti tayari.
Uko vizur sana kiongoz hongera sana

{Hutajuta ukitembelea
& kusubscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa
 
tukawa tunapiga stori ya yule mtunza stoo pale, yupo mchafu mchafu hivi..Mimi hapo nimetoka kazini niko nadhifu vibaya mno sitaki hata vumbi linirukie..

Kwa maana hiyo wewe ulisha mdharau mutunza store..
Sasa nimeamini
"Watu huuliza unafanya kazi gani ili wakukadirie kiwango cha heshima ya kukupa", Baada ya kusikia ana nyumba3, magari 3 nadhani ulimpa heshima tofauti na ile uliyompa mwanzo

nimewaza tu kwa sauti
 
Kweli kabisa mkuu umenena vyema!
Hata humu JF kuna baadhi ya member kujiona wao ndo kila kitu na wengine ni mafala tu mbele yao! Lakini hakika nawaambieni nje ya JF mambo ni tofauti kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app


{Hutajuta ukitembelea
& kusubscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa
 
You nailed it! sina cha kuongeza wala kupunguza!
Na kwanini umdharau mtu??? Me nashangaa sana sisi watu tulivyo wa ajabu,utamsikia mtu anasema usimdharau usiye mjua ina maana unayemjua ndio umdharau???maisha tunategemeana sana na hakuna wa muhimu zaidi kuliko mwenzie..USIMDHARAU yeyote chini ya jua hili,.full stop.

Komenti tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maana hiyo wewe ulisha mdharau mutunza store..
Sasa nimeamini
"Watu huuliza unafanya kazi gani ili wakukadirie kiwango cha heshima ya kukupa", Baada ya kusikia ana nyumba3, magari 3 nadhani ulimpa heshima tofauti na ile uliyompa mwanzo

nimewaza tu kwa sauti
Umewaza kama mimi.
 
Mdharau mtu kimoyo moyo. Huwezi kusema eti usimdharau mtu. Halafu watu tuna thamani tofauti tofauti duniani. Binadamu wote Ni sawa Ni katika harakati za watu wasijisikie vibaya huo msemo ukatungwa
 
Thamani ya mwanadamu haipimwi kwa anachomiliki bali kwa sifa pekee ya yeye kuwa mwandamu; mali zipo leo kesho hazipo bali ibinadamu husalia mpka mtu aendapo kaburini.

Tuheshimiane bila kujali Vyeo, Rangi, sura, mali, kimo, elimu n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisaa Saguda,.kujiona wewe ni mbora kuliko wengine ni dhihaka kwa Mungu muumba,.
 
Na kwanini umdharau mtu??? Me nashangaa sana sisi watu tulivyo wa ajabu,utamsikia mtu anasema usimdharau usiye mjua ina maana unayemjua ndio umdharau???maisha tunategemeana sana na hakuna wa muhimu zaidi kuliko mwenzie..USIMDHARAU yeyote chini ya jua hili,.full stop.

Komenti tayari.
Unakunywa kinywaji gani? Agiza nalipa!!


Comment imo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo Mbona kawaida sana,wabeba mizigo (wasambaa) na machinga wengi mtaa wa agrey kkoo wana nyumba kwa asilimia kubwa,so muheshimu kila mtu kuwa nadhifu haimaanishi umeyapatia maisha
 
Mzee wa kujikweza siku zote JF..

Kiukweli ID feki zina tufichia mengi mnoo.
 
Back
Top Bottom