mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 94,059
- 132,508
ShkranNadhani wana patikana pale kwenye makutano ya airport (Mwl. Nyenyerere International Airport), kama nime kosea naomba kurekebishwa.
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
ShkranNadhani wana patikana pale kwenye makutano ya airport (Mwl. Nyenyerere International Airport), kama nime kosea naomba kurekebishwa.
Hongera zako
Usimalize mapema. Yote hii bado malizia story bhana...Leo muda fulani nilichepuka niende kununua materials ya ujenzi pale Kamaka. Kwa wasiojua, Kamaka ni kampun ya Warusi wanauza vifaa vya ujenzi..Ni duka kubwa
Sasa wakati nimemaliza kila kitu wanapakia mzigo, tukawa tunapiga stori ya yule mtunza stoo pale, yupo mchafu mchafu hivi..Mimi hapo nimetoka kazini niko nadhifu vibaya mno sitaki hata vumbi linirukie..
Sasa badae wakati naondoka nikawa napiga stori na walionibebea mzigo kwenye gari wakawa wanasema hili gari(canter) ni la yule dogo pale. Nikauliza dogo gani wakasema yule storekeeper pale..
Daaah! nduo stori zikaanza hapo kuwa dogo ni darasa la saba tuu na mshahara wake ni milioni 2.8, ana hizo 3 za kubeba mizigo na mambo mengine kibao. Wakawa wanasema Mrusi haajiri wenye elimu kubwa kwenye vitengo hivyo, akasema wapo wengi tu humu darasa la saba
Akanambia unamwona mlinzi yule ana nyumba 3. Nikasema haiwezekan, akasema subiri akamwita akamwambia oya nyumba ya Kivule ushamaliza, akasema ipo kwenye madirisha. Basi poa nataka panga nyumbani kwako kabsa, ile nyumba ya ....,akamwambia,ya ngap sasa hiv hyo kiutan,akasema mungu ni mwema ya 3.
Nkasema ama kweli....
Uzi tayar
Sent using Jamii Forums mobile app







Dah... Pesa inabagua aiseeIko hivi..pesa inahitaji nidhamu,ndio maana ni rahisi kukuta "mafala" wamefanikiwa,kwanza hawana show off za kijinga na kula bata! Tukija upande wa pili ni kinyume chake!
Uko vizur sana kiongoz hongera sanaNa kwanini umdharau mtu??? Me nashangaa sana sisi watu tulivyo wa ajabu,utamsikia mtu anasema usimdharau usiye mjua ina maana unayemjua ndio umdharau???maisha tunategemeana sana na hakuna wa muhimu zaidi kuliko mwenzie..USIMDHARAU yeyote chini ya jua hili,.full stop.
Komenti tayari.
tukawa tunapiga stori ya yule mtunza stoo pale, yupo mchafu mchafu hivi..Mimi hapo nimetoka kazini niko nadhifu vibaya mno sitaki hata vumbi linirukie..
Kweli kabisa mkuu umenena vyema!
Hata humu JF kuna baadhi ya member kujiona wao ndo kila kitu na wengine ni mafala tu mbele yao! Lakini hakika nawaambieni nje ya JF mambo ni tofauti kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app










Mkuu, Moderator Moderator akiona hivi atakupa shida,kuwa makini na hizo link mkuu! Kuna watu wana wivu humu,oohDah... Pesa inabagua aisee
{Hutajuta ukitembelea
& kusubscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa
Na kwanini umdharau mtu??? Me nashangaa sana sisi watu tulivyo wa ajabu,utamsikia mtu anasema usimdharau usiye mjua ina maana unayemjua ndio umdharau???maisha tunategemeana sana na hakuna wa muhimu zaidi kuliko mwenzie..USIMDHARAU yeyote chini ya jua hili,.full stop.
Komenti tayari.
👏👏👏
Umewaza kama mimi.Kwa maana hiyo wewe ulisha mdharau mutunza store..
Sasa nimeamini
"Watu huuliza unafanya kazi gani ili wakukadirie kiwango cha heshima ya kukupa", Baada ya kusikia ana nyumba3, magari 3 nadhani ulimpa heshima tofauti na ile uliyompa mwanzo
nimewaza tu kwa sauti
Ndio vipimo vyetu binadamu.Kwa hiyo kipimo cha mtu bora ni kuwa na hela nyingi.
Kweli kabisaa Saguda,.kujiona wewe ni mbora kuliko wengine ni dhihaka kwa Mungu muumba,.Thamani ya mwanadamu haipimwi kwa anachomiliki bali kwa sifa pekee ya yeye kuwa mwandamu; mali zipo leo kesho hazipo bali ibinadamu husalia mpka mtu aendapo kaburini.
Tuheshimiane bila kujali Vyeo, Rangi, sura, mali, kimo, elimu n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakunywa kinywaji gani? Agiza nalipa!!Na kwanini umdharau mtu??? Me nashangaa sana sisi watu tulivyo wa ajabu,utamsikia mtu anasema usimdharau usiye mjua ina maana unayemjua ndio umdharau???maisha tunategemeana sana na hakuna wa muhimu zaidi kuliko mwenzie..USIMDHARAU yeyote chini ya jua hili,.full stop.
Komenti tayari.
Mzee baba kwanza za siku nyingi
{Hutajuta ukitembelea
& kusubscribe chanel yangu ya youtube jina Misifa Skills,Link hii hapa