Wakija hapa wengine watajikataa kuwa sio wao
Jikatae kwanza wewe wa hapo mbele kushoto.
Teh we dodgo acha utani..!
Unanifanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere!
Niko kwenye maombolezo ya NSSF zangu kuliwa na serikali naomba nipotee kwanza hadi ntakapomaliza machungu na kukubaliana na hali halisi ya JK.
Salamu zangu kwa WanachitChat wote!
ok, hivi kumbe wewe ulizaliwa UK? (Uru kishumundu)
Jikatae kwanza wewe wa hapo mbele kushoto.
mwahhh Erickb52! hav mithd u khaaaaaaa! niwakilishe kwenye kilio chako, tupo pamoko!Teh we dodgo acha utani..!
Unanifanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere!
Niko kwenye maombolezo ya NSSF zangu kuliwa na serikali naomba nipotee kwanza hadi ntakapomaliza machungu na kukubaliana na hali halisi ya JK.
Salamu zangu kwa WanachitChat wote!
Khaa!
Kumbe nyie wote mlizaliwa Tz ?
Aisey pole zenu! Bora sie waTz tuliozaliwa ughaibuni !