Teh we dodgo acha utani..!
Unanifanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere!
Niko kwenye maombolezo ya NSSF zangu kuliwa na serikali naomba nipotee kwanza hadi ntakapomaliza machungu na kukubaliana na hali halisi ya JK.
Salamu zangu kwa WanachitChat wote!
Teh we dodgo acha utani..!
Unanifanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere!
Niko kwenye maombolezo ya NSSF zangu kuliwa na serikali naomba nipotee kwanza hadi ntakapomaliza machungu na kukubaliana na hali halisi ya JK.
Salamu zangu kwa WanachitChat wote!
duh picha huwa zinakumbusha mambo mengi sana has saa hizi tunavyojitia wamjini halafu angalia vipicha vya zamani vya black and white tulivyokuwa mie huwa nakaa naangalia nakumbuka mbaali nacheka sana
Teh we dodgo acha utani..!
Unanifanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere!
Niko kwenye maombolezo ya NSSF zangu kuliwa na serikali naomba nipotee kwanza hadi ntakapomaliza machungu na kukubaliana na hali halisi ya JK.
Salamu zangu kwa WanachitChat wote!