Kweli tumetoka mbali!!

Lucas

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
2,457
1,108
Teh we dodgo acha utani..!
Unanifanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere!
Niko kwenye maombolezo ya NSSF zangu kuliwa na serikali naomba nipotee kwanza hadi ntakapomaliza machungu na kukubaliana na hali halisi ya JK.
Salamu zangu kwa WanachitChat wote!
 
Teh we dodgo acha utani..!
Unanifanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere!
Niko kwenye maombolezo ya NSSF zangu kuliwa na serikali naomba nipotee kwanza hadi ntakapomaliza machungu na kukubaliana na hali halisi ya JK.
Salamu zangu kwa WanachitChat wote!


Pole mwaya!
Serikali yetu haifai hata kidogo.
Tuandamane.
 
duh picha huwa zinakumbusha mambo mengi sana has saa hizi tunavyojitia wamjini halafu angalia vipicha vya zamani vya black and white tulivyokuwa mie huwa nakaa naangalia nakumbuka mbaali nacheka sana
 
Khaa!
Kumbe nyie wote mlizaliwa Tz ?
Aisey pole zenu! Bora sie waTz tuliozaliwa ughaibuni !
 
Teh we dodgo acha utani..!
Unanifanya nimkumbuke sana Mwalimu Nyerere!
Niko kwenye maombolezo ya NSSF zangu kuliwa na serikali naomba nipotee kwanza hadi ntakapomaliza machungu na kukubaliana na hali halisi ya JK.
Salamu zangu kwa WanachitChat wote!
mwahhh Erickb52! hav mithd u khaaaaaaa! niwakilishe kwenye kilio chako, tupo pamoko!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…