KACHINJA JF-Expert Member Dec 26, 2015 1,263 864 Jul 8, 2018 #1 Kitambo sana nilikuwa nayakusanya nambandika kwenye daftari mpaka ikajaa
Barbarosa JF-Expert Member Apr 16, 2015 22,584 27,786 Jul 8, 2018 #2 tejay said: Kitambo sana nilikuwa nayakusanya nambandika kwenye daftari mpaka ikajaaView attachment 805425View attachment 805426View attachment 805427View attachment 805428 Click to expand... Umenikumbusha Zico, hata mimi nilikuwa nafanya, duh!
tejay said: Kitambo sana nilikuwa nayakusanya nambandika kwenye daftari mpaka ikajaaView attachment 805425View attachment 805426View attachment 805427View attachment 805428 Click to expand... Umenikumbusha Zico, hata mimi nilikuwa nafanya, duh!
dingihimself JF-Expert Member Jan 9, 2016 9,403 19,424 Jul 8, 2018 #5 Namuona dover suker aisee kwel kitambo sasa hapo ukimaliza unabandika kwenye kisoda mpira Wa visoda
omarion5 JF-Expert Member Oct 14, 2017 5,206 17,677 Jul 8, 2018 #7 Hivi nikisema ulikuwa huna kazi ya kufanya takuwa nimetoa kashfa?
Mbao za Mawe JF-Expert Member May 11, 2015 23,373 54,755 Jul 8, 2018 #8 Niliwahi kumwaga damu ya mtu kisa hivyo vipicha.
Husna Muba JF-Expert Member Jan 28, 2017 14,524 44,567 Jul 8, 2018 #9 omarion5 said: Hivi nikisema ulikuwa huna kazi ya kufanya takuwa nimetoa kashfa? Click to expand... Ndio
omarion5 said: Hivi nikisema ulikuwa huna kazi ya kufanya takuwa nimetoa kashfa? Click to expand... Ndio
KACHINJA JF-Expert Member Dec 26, 2015 1,263 864 Jul 8, 2018 Thread starter #10 Zaman wachezaji walikuwa nachomekea
loliondokwetu JF-Expert Member Feb 21, 2018 1,004 1,075 Jul 8, 2018 #11 Mkuu umenikumbusha mbali sana
Paz3i JF-Expert Member Oct 11, 2014 555 884 Jul 8, 2018 #12 kwel tulipotoka ni mbal [HASHTAG]#upendo[/HASHTAG] utatufikisha tuendako
omarion5 JF-Expert Member Oct 14, 2017 5,206 17,677 Jul 8, 2018 #13 husna muba said: Ndio Click to expand...
P Pagan Amum JF-Expert Member Aug 28, 2015 1,932 4,395 Jul 8, 2018 #15 Brazil ya kombe la dunia la 2002 halitakaa litokee tena ulimwenguni
D Deleted member 485868 Guest Jul 8, 2018 #16 Mambo ya bazoka hayoo...nilikua sipitwi kumjaza dinho na zidane
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 47,677 40,880 Jul 8, 2018 #18 Kama hii kitu hujafanya wewe sio mhenga
Atoto JF-Expert Member Jul 19, 2013 82,110 158,966 Jul 8, 2018 #19 Hahahaaaa!! Wachezaji wa Brazil nilikuwa nawafahamu woote, aisee umenikumbusha mbali kweli.
Husna Muba JF-Expert Member Jan 28, 2017 14,524 44,567 Jul 8, 2018 #20 Ilikuwa ukikuta picha ya 'ronado de Lima' unapewa big G nyingine ya bure