Mroojr Member Nov 15, 2010 65 8 Dec 20, 2010 #2 Si kweli. Kama ni hivyo mbona hawa bado wapo na hawabadili kuwa binadamu.
Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,051 653 Dec 20, 2010 Thread starter #4 Lakini nani aliyesema tulitokana na nyani au Sokwe? Mroojr said: Si kweli. Kama ni hivyo mbona hawa bado wapo na hawabadili kuwa binadamu. Click to expand...
Lakini nani aliyesema tulitokana na nyani au Sokwe? Mroojr said: Si kweli. Kama ni hivyo mbona hawa bado wapo na hawabadili kuwa binadamu. Click to expand...
Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,051 653 Dec 20, 2010 Thread starter #5 Wala mimi ndio simo kabisa labda wengine Elli said: Sio mimi, labda wewe Click to expand...
M meddymjili New Member Nov 15, 2010 3 0 Dec 21, 2010 #7 dah me bado siamini, mbona watoto wanaozaliwa hawapitii kwenye unyani au usokwe halafu ndio wawe binaadamu !!
dah me bado siamini, mbona watoto wanaozaliwa hawapitii kwenye unyani au usokwe halafu ndio wawe binaadamu !!