Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,017
Hello jf,
Nimeamini yatupasa kufanya sala kulingana na imani tuliyonayo. Kilichonifanya niamini hivi ni hali iliyonitokea leo asubuhi.
Ilikuwa hivi leo alfajiri mida ya saa kumi, mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi sana kana kwamba moyo unataka kuchomoka hali hii imeendelea hadi kwenye mida ya saa 12 ndipo nikaamka na kuchukua karatasi ambayo nimeandika sala. Baada ya kusali hiyo sala ya asubuhi nikajikuta nipo ok kabisa hata mapigo ya moyo yakawa yanaenda kawaida.
i will keep on praying then nawashauri na wengine tukumbuke kufanya sala Mungu anatuona.
Nimeamini yatupasa kufanya sala kulingana na imani tuliyonayo. Kilichonifanya niamini hivi ni hali iliyonitokea leo asubuhi.
Ilikuwa hivi leo alfajiri mida ya saa kumi, mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi sana kana kwamba moyo unataka kuchomoka hali hii imeendelea hadi kwenye mida ya saa 12 ndipo nikaamka na kuchukua karatasi ambayo nimeandika sala. Baada ya kusali hiyo sala ya asubuhi nikajikuta nipo ok kabisa hata mapigo ya moyo yakawa yanaenda kawaida.
i will keep on praying then nawashauri na wengine tukumbuke kufanya sala Mungu anatuona.