Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
ROSTAM MSALABA WA TAIFA
Kweli nimeamini tuna kazi kubwa kwa huyu fisadi papa ROSTAM kumbadilisha na kumjulisha watanzania sasa wameamka hawataki ujinga tena aliokuwa akifanya na chama cha majambazi na viongozi wake
Kwa jinsi alivyotumaliza na anavyoendelea kutumaliza na hata raisi wa jamhuri ya tanganyika amekaa kimya kama hakuna kinachotokea nikaona huyu mtu kwa kweli ni MZIGO WA TAIFA
Kwa mtaji huo Wananchi hatuna Budi kutangaza Hali ya HATARI nchini mwetu kluliko kusubiri shost wake aje kutangaza........
Nimejaribu kuona huyu bwana hana tofauti na mauwaji ya maalbino yalitamba sana na watu wakalivalia njuga at least sasa hivi hata kama unamuua ALBINO si kwa uwazi kama walivyokuwa wanafanya mwanzoni....nashukuru hivi sasa mauwaji kidogo yamepungua lakini the way ninavyomuona huyu jama na mambo anayowafanyia watanzania naona hata wabunge wakilalama na kuvua nguo pale DODOMA habadiliki na hatobadilika.................
]
WANANCHI TUFANYAJE???KAZI KWENU
MCHUKIA FISADI
Kweli nimeamini tuna kazi kubwa kwa huyu fisadi papa ROSTAM kumbadilisha na kumjulisha watanzania sasa wameamka hawataki ujinga tena aliokuwa akifanya na chama cha majambazi na viongozi wake
Kwa jinsi alivyotumaliza na anavyoendelea kutumaliza na hata raisi wa jamhuri ya tanganyika amekaa kimya kama hakuna kinachotokea nikaona huyu mtu kwa kweli ni MZIGO WA TAIFA
Kwa mtaji huo Wananchi hatuna Budi kutangaza Hali ya HATARI nchini mwetu kluliko kusubiri shost wake aje kutangaza........
Nimejaribu kuona huyu bwana hana tofauti na mauwaji ya maalbino yalitamba sana na watu wakalivalia njuga at least sasa hivi hata kama unamuua ALBINO si kwa uwazi kama walivyokuwa wanafanya mwanzoni....nashukuru hivi sasa mauwaji kidogo yamepungua lakini the way ninavyomuona huyu jama na mambo anayowafanyia watanzania naona hata wabunge wakilalama na kuvua nguo pale DODOMA habadiliki na hatobadilika.................
]
WANANCHI TUFANYAJE???KAZI KWENU
MCHUKIA FISADI