Kweli nimepatikana siamini

Usithubutu kumtamkia au kumtongoza mwanaume yeyote hapa duniani bidada utajutraa..

Nimeona ndugu jamaa na marafiki kilichowakuta kwa upuuzi huo..ni mwendo wa vilio hadi nawaonea huruma mweeh!

Usithubutuu....
Masculinity is on a decline in the west because life is too easy.

When shit hits the fan, the men who are ready will step up to the plate, and the men who were playing their Nintendo Switch and drinking soy lattes will perish.
 
Inyoe tuu umpelekee mkuu hamna namna
 
Ndie huyu huyu wa anaekutesa leo mkuu??

Kama ndie basi ulikosea tangu mwanzo.
 
Ndie huyu huyu wa anaekutesa leo mkuu??

Kama ndie basi ulikosea tangu mwanzo.
Jamaa hakumpenda, wanaume mna huruma sana, kamuona anateseka akaona ampe dyudyu....bidada akanogewa.
Jamani wanawake Sisi Kazi yetu ni kutii tu, kupenda ni kiherehere Chetu.
 
Jamaa hakumpenda, wanaume mna huruma sana, kamuona anateseka akaona ampe dyudyu....bidada akanogewa.
Jamani wanawake Sisi Kazi yetu ni kutii tu, kupenda ni kiherehere Chetu.
Wanaume ukitushobokea umeisha.

Raha ya windo likusumbue, sasa huyu alionesha kabisa yeye ndo kapenda sana.
Pole yake bna.
Kwenye huu uzi anasema sio mpenda wanawake, huko mbele ndo anaijua tabia yake vilivyo. Na huenda alikua anaona kabisa ni mtu wa wanawake ila eidha jf imsapot au labda kumenda kwake kulificha mabaya yake.
 
Hongera
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…