Kweli nimeamini mama ndo mlezi wa nyumba

Kweli nimeamini mama ndo mlezi wa nyumba

gwangaeto

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2017
Posts
653
Reaction score
759
Baba anaweza kupata mahela akawa ananunua mabaskeli tu, wakati huo watoto wanalala njaa wengine wanatembea peku na viraka makalioni.

Lakini mama akipata hela atawanunulia watoto chakula, nguo mpya, na poketi mane atawaongezea. Maisha mazuri sana ukiwa na mama.

MAMA OYEEEEEE
 
... ndio maana if it were an option to choose nani atangulie mbele za haki ni bora baba aanze! Ni rahisi kwa wanaume kujisahau na kutelekeza familia/wanawe kuliko mama. Popote alipo mama hawezi kuwasahau wanawe daima wako moyoni mwake.
 
Ndugu yetu Elitwege ameweza kutokea kutoa japo yake ya moyoni ya pongezi kuhusiana na mama yetu kipenzi, Mama Samia Suluhu Hassan rais wetu wa JMT?
 
Hana jipya. Maisha kwa Watanzania tulio wengi yako vile vile. Zaidi tu ametuletea mitozo ambayo itaanza kutusumbua kuanzia Julai 1!

Tofauti yake kuu na Mtangulizi wake, ni ile hali tu ya kutokuwa mbabe na mkaidi! Ila wote ni ccm! Na siku zote ccm ni ile ile. Maslahi yao kwanza, ya nchi baadae.
 
Back
Top Bottom