Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Mimi sio mwanasheria ila natakakujua kisheria kuwa Mwanaume na mwanamke wako sawa? na je wanahaki sawa?
Maana kwangu mimi imekuwa kero kubwa sana maana kila wakati nasikia haki sawa haki sawa na ukiangalia inakinzana na utamaduni wetu wa kitanzania na hataule wa kidini.
Jamani naomba elekezo ya kisheria
Maana kwangu mimi imekuwa kero kubwa sana maana kila wakati nasikia haki sawa haki sawa na ukiangalia inakinzana na utamaduni wetu wa kitanzania na hataule wa kidini.
Jamani naomba elekezo ya kisheria