Hii ni uongo mchana kweupe, kwa muonekano tu ni kuwa jamaa amepoteza kama 30% ya ubongo wake, sasa munataka kusema binaadamu anaishi bila ubongo? Na kwa eneo ambalo linatatizo kwa huyu jamaa basi hataweza kutumia miguu, mikono, hatahisi kwa ulimi e.t.c... Photoshop
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.