Kweli mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

Kweli mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

Shida si mtoto, shida ni mzazi wake.
Hata wewe uliyetoa uzi huu kwako si salama hata kidogo tusidanganyane kabisa.

Shida ni nyie mnaojiita wasomi wakati hakuna kitu.

Badala ya kushangaa mdogo wako au mtoto wako au ndugu yako yeyote akitembea uchi na kinanii (...mbe) chake kinaonekana we unaenda kushangaa mtoto wa miaka 6.

Nyambafu
 
Back
Top Bottom