Kweli mtalaka hatongozwi

Kweli mtalaka hatongozwi

iMind

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,156
Reaction score
5,265
Kama hukua bikra imekula kwako. Wenyewe waliokutangulia wakitaka wanakula vitu kama kawa.Juzi nimekutana na wangu wa zamani. Tulipotezeana baada ya kumaliza chuo. Ameolewa na anaishi huko mkoani.

Sasa hivi niko naye tunakula Eid.

Habari ndo hiyo.
 
Sahizi yupo nawewe.unafikiri ni wangapi mliokuwa nao chuo walikuwa naye huyo dada na wakikutana kama ulivokutana naye wewe wanakula idd vivyo hivo.be care mtanzania mwenzangu hilo ni lindo na kanuni ya lindo kupokeana!.
 
Unajisifu kwa uzinzi pole sana watu ramadhani ime kwisha mnaludi kwenye matendo yenu dyuuuu
 
Yaani wewe ni chizi sasa unatuambia ujinga ili iwaje kama unajua ameoleea si umwache mke wa mtu, angekuwa ni mkeo anafanya hivo ungefanyaje?
 
Kwan Wakwako Unajua Anakula Na Nani Idd! Je! Kama Nae Kakutana Na Wa Enzi Zile? Nae Anakutakia Idd Njema Anyway,
 
Kwan Wakwako Unajua Anakula Na Nani Idd! Je! Kama Nae Kakutana Na Wa Enzi Zile? Nae Anakutakia Idd Njema Anyway,
Mimi mjanja wewe. Nilifungua seal mwenyewe.
 
Kama hukua bikra imekula kwako. Wenyewe waliokutangulia wakitaka wanakula vitu kama kawa.

Juzi nimekutana na wangu wa zamani. Tulipotezeana baada ya kumaliza chuo. Ameolewa na anaishi huko mkoani. Sasa hivi niko naye tunakula Eid.

Habari ndo hiyo.

Nzi ufia kwenye kidonda kilichooza
 
Kama hukua bikra imekula kwako. Wenyewe waliokutangulia wakitaka wanakula vitu kama kawa.

Juzi nimekutana na wangu wa zamani. Tulipotezeana baada ya kumaliza chuo. Ameolewa na anaishi huko mkoani. Sasa hivi niko naye tunakula Eid.

Habari ndo hiyo.

Mbona hii michezo tuliifanya sekondari. Wewe unatamba ukubwani.
 
Mtalaka hatongozwi lkn c tu kwa wale waliotoana bkr!!
 
Sasa unajisifu nini wakati wakwako yuko na mpenz wake wa zaman na wenyewe wanakula idi alafu acha kuzini cku ya idi.
 
Aisee kukumbushia hasa Kama milachana kwa Amani ni jambo rahisi sana ..Ila kwa mwanamke uliyemuumiza wala usijaribu asije akakungata makende yako kwa hasira
 
mshahara wa uzinzi ni mauti .Change your mind
 
Hongera sana, kwakuwa ni jambo jema mno Mungu akubariki liendelee ktk kizazi chako.

Ati wajisifu kuwa na mke wa mtu. Mungu akusaidie sana uache upumbavu.
 
Angalia sana.Kama na ww una mke au mchumba na imkuta sio bikira ule wimbo wa extra nongo mtenda utendewa uta apply
 
Back
Top Bottom