vanilla
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 448
- 356
Ukiangalia mtiririko wa matukio yote haya unaweza kuona kuna pattern za usaliti.
Cha msingi ni kwamba kabla ya kufunga ndoa hakikisha mwenzio umemjua nje na ndani. Yes najua wanasema ukimchunguza bata hutomla ila kwakweli kwa haki ilivyo ni bora kujua mapem kuwa mwenzangu yuko vile ili uamue unao au lah.
Vitu kama tabia ya usaliti mwenzako akiamua usijue hutajua. Kwa wanaomini kwenye maombi basi wanasema maombi pekee ndio yatakayokupa mwenza mwema. Hatakua malaika ila mazuri yake yatafunika mabaya/kasoro alizonazo. Plus uaminifu lazima uwepo. Kama haupo hapo hata maombi hayaoni ndani