Kweli kua uyaone; Nimeamini ndoa ni kitu kigumu sana

Mbona yakwangu ni ya mfano mzuri, na wengi wanaotufahamu tume wa inspire waingie ndoani hasa ukizingatia tulioana tukiwa vijana wadogo umri wa 24.
Sasa tunawatoto wa wili na bado kama kumbikumbi na michezo yetu yakitoto....

So hizo ndoa za kizinifu na nyingine zilizofeli zisiwe mfano kwako.

Muombe sana Mungu, pia mshukuru sana Mungu sio kujisifia..
 
Muombe sana Mungu, pia mshukuru sana Mungu sio kujisifia..
nimejibu kulingana na mtoa post.... hivo nami namdhibitishia kwamba inawezekana maana kunawatu wazima kabisaa wamedumu wakiishi hivi tulivo mpaka wanaelekea uzeeni.
kikubwa elewa sio kama watu hawagombani ila wanajua namna ya kusolve matatizo yao na kuendelea.
 
Mkuu ndoa ni endelevu. Kuna Siku unawezafanyiwa kituko ukaja kuifuta hii comments.. Endelea kuitetea kila Siku. Omba sana usije hundua wala kuujua ubaya mwenza wako.
unacho sema ni sawa lakini binafsi nimejifunza kudili na mazuri ya mke wangu tuu na sijajipa muda wa kumchunguza mabaya yake kwa sababu nimemuachia Mungu anayejua ya sirini. so we kama uko kwa ndoa usipoteze mda kuskiza fulani anakuambia nn juu ya mwenza wako we tulia tuu sema na Mungu anajua njia sahihi ya kudeal nalo bila maumivu kwako.
 
Wengi wanaochangia huu uzi hawajaoa wanavhangia kupitia story za vijiweni na movie wanazoangalia..
 
Siri ya ndoa zinazodumu sio upendo tu bali ni 'uvumilivu uliotukuka'

Ukishindwa kuhandle vitu utaachika tu na kuona ndoa mbaya kumbe ulishindwa kuimudu wewe mwenyewe

Uhalisia wa ndoa ni furaha chache na maumivu mengii ukishajua huo ndo uhalisia wala hutooona ajabu kukutana na maumivu ndo maisha yalivyo utaishije ka uko peponi bwana wkt uko duniani?.,
Kama hamna uvumilivu basi hamna upendo.Chochote kitakachoitwa au kitakachofanana na uvumilivu kama hamna upendo itakua ni unafiki/maigizo na hakitadumu.

Upendo ndio kifungo cha ukamilifu katika ndoa.

Uvumilivu bila upendo ni mzigo, utachoka na kuuangusha.Upendo huvumilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marahabaaaa! Hivi uvumilivu unafundishwa wapi? Maaana huu ukweli mchungu kwelikweli.
Ninavyojua mimi, upendo huvumilia.Uvumilivu ni tabia ya upendo.Ukipenda hautawaza kuvumilia.

Kama ambavyo tukizungumza hatupigi mahesabu ya kufunga/kufungua mdomo, vivyo hivyo ukimpenda utachukuliana naye na kumvumilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siri ya ndoa zinazodumu sio upendo tu bali ni 'uvumilivu uliotukuka'

Ukishindwa kuhandle vitu utaachika tu na kuona ndoa mbaya kumbe ulishindwa kuimudu wewe mwenyewe

Uhalisia wa ndoa ni furaha chache na maumivu mengii ukishajua huo ndo uhalisia wala hutooona ajabu kukutana na maumivu ndo maisha yalivyo utaishije ka uko peponi bwana wkt uko duniani?.,
Kweli kabisa
 
baada ya kubahatisha watoto 2 na visichana vya kijijini nikabadili gia ni mwendo wa kuchoma wa haya tu sijui nani amepafunga pale tandika hz habari za kupeana presha unatunza wee kumbe mtoto si wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom