Vivian Mwaisango
Member
- Apr 2, 2012
- 9
- 1
Jamaa katembelewa na Israel mtoa roho za watu,akamwambia leo ndio zamu yako nimekuja kukutoa roho.Jamaa kamkaribisha vizuri,kampa chakula na kinywaji ambacho aliweka dawa ya ucngizi.Israel alipolala jamaa akakata jina lake lilikua mwanzoni mwa list ya majina akaliandika mwishoni.Israel alipoamka akamwambia,"rafiki yangu umenitendea wema sana,hvyo nimeona bora nianze na jina la mwisho ili wewe uendelee kuishi"jamaa kabaki hoi